Toure kocha msaidizi Saudi Arabia

KIUNGO wa zamani wa Ivory Coast, Yaya Toure ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Saudi Arabia.

Toure 40 atafanya kazi na Roberto Mancini, ambaye alimsimamia Manchester City.

Mancini aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa Saudi Arabia mwezi Agosti na ameshaiongoza timu hiyo mechi nne tangu.

Toure, aliwahi kucheza City kwa miaka minane baada ya kusajiliwa mwaka 2010, alianza ukocha mwaka 2019 na Standard Liege ya Ubelgiji.

Kiungo huyo wa zamani wa Barcelona pia ametumia muda kufanya kazi na klabu ya Donetsk Olympic ya Ukraine, Grozny ya Urusi, na kama mkufunzi wa ‘academy’ ya Tottenham Hotspur.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Wandaeay
Wandaeay
29 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 29 days ago by Wandaeay
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x