TP, Espérance hakuna kiingilio

KUELEKEA mchezo wa kesho TP Mazembe wakicheza mchezo wake wa kwanza wa African Football League (AFL) katika dimba la Benjamin Mkapa dhidi ya Esperance De Tunis, mchezo huo hautakuwa na kiingilio.
TP Mazembe wamechagua kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa na inakuwa faida kwa Tanzania kushuhudia michezo mingine zaidi ya Africain Football League ambayo inasimamiwa na FIFA pamoja na CAF.
Mchezo kati ya Tp Mazembe dhidi ya Esperance hautakuwa na kiingilio na hivyo kila mtanzania na mpenda soka anaweza kwenda kesho Benjamin Mkapa kuwaunga mkono TP Mazembe.
Make extra profit every week… this is a great part-time job for everyone… best part about it is that you can work from your home and earn from $100-$2000 each week … start today and have your first payment at the end of the week.
This Website➤—————➤ http://Www.Smartcash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com