TPDC: Uzalishaji gesi Mnazi Bay unaendelea

MTWARA; SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limekanusha taarifa kuwa visima vitano vya kuzalisha gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay Mkoani Mtwara vimekauka na kuacha kuzalisha gesi.
Akizungumza mara baada ya kutembelea visima hivyo, Mkurungezi Mtendaji wa Shirika hilo Mussa Makame, amesema taarifa hizo hazina ukweli wowote na kwamba visima vyote vinaendelea na uzalishaji kama kawaida.
“Uzalishaji wa visima vyote vitano hapa hapa (Kitalu cha Mnazi Bay) unaendelea , hakuna tatizo lolote wala hakuna ukweli wowote kwamba kuna kisima kimekauka au visima havitoi gesi sasa hivi,” amesema.
Makame amesema hali ya uzalishaji kwa sasa katika visima vyote vitano unafanyika kiukamilifu.
Earn income while simply working online. work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here——————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana
KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG
TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..
100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg