TRA yafuta vikosi kazi ukusanyaji mapato

Uledi Mussa

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Uledi Mussa amesema hakuna tena vikosi kazi katika ukusanyaji mapato nchini.

Musa amewaambia Wahariri jijini Dar es Salaam kuwa TRA inataka watu walipe kodi bila shuruti, na wamewaagiza maofisa wakusanye kodi bila matumizi ya nguvu.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *