TRA yafuta vikosi kazi ukusanyaji mapato

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Uledi Mussa amesema hakuna tena vikosi kazi katika ukusanyaji mapato nchini.

Musa amewaambia Wahariri jijini Dar es Salaam kuwa TRA inataka watu walipe kodi bila shuruti, na wamewaagiza maofisa wakusanye kodi bila matumizi ya nguvu.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button