Trump atakiwa kujisalimisha

ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump amefunguliwa mashtaka ya ulaghai na msururu wa uhalifu katika uchaguzi mkuu wa 2020 katika nafasi ya urais nchini Marekani.

Takribani miaka miwili sasa uchunguzi umekuwa ukiendelea dhidi ya Trump kubatilisha kushindwa kwake katika kinyang’anyiro hicho dhidi ya Joe Biden katika jimbo la Georgia nchini Marekani.

Mwendesha mashtaka wa Kaunti ya Fulton Fani Willis aliwaambia waandishi wa habari kwamba Trump amepewa muda hadi Agosti 25 kujisalimisha kwa hiari kwa mamlaka.

Kwa upande wao mawakili wa Trump wamesema “wanatarajia mapitio ya kina ya shtaka hili ambalo bila shaka lina dosari na kinyume cha katiba kama mchakato huu wote ulivyokuwa”.

Itakumbukwa hili ndilo shtaka kubwa zaidi kwa Trump ambaye sasa ni mgombea urais wa chama cha Republican akiwa na miaka 77.

Hata hivyo, kwa sasa anakabiliwa na kesi mjini New York, Washington, DC na Florida katika kesi nyingine tatu.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Elainloyd
Elainloyd
3 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 3 months ago by Elainloyd
rofyidilmo
rofyidilmo
Reply to  Elainloyd
3 months ago

My pay at least $300/day.My co-worker says me!I’m really amazed because you really help people to have ideas how to earn money. Thank you for your ideas and I hope that you’ll achieve more and receive more blessings. I admire your Website I hope you will notice me & I hope I can also win your paypal giveaway.
.
.
go to this link_____ https://Fastinccome.blogspot.Com/

JuliaRichard
JuliaRichard
3 months ago

Earn income while simply working online. Work from home whenever you want. Just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here===========================>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

CelineEmery
CelineEmery
3 months ago

Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. 5q7 I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
just copy and paste……………….>  http://www.SmartCash1.com

Nottingham Forest
Nottingham Forest
3 months ago

TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO

INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
 ✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.

GHARAMA TSH CENT 1

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x