TSN, Ofisi ya RC Mtwara kuimarisha uhusiano

MTWARA; MKURUNGEZI Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Tuma Abdallah amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas kuhusu namna bora ya kuboresha uhusiano na ushirikiano baina ya kampuni hiyo na mkoa.
Mazungumzo hayo yamefanyika leo Novemba 16 ,2023 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huyo mjini Mtwara, ambapo pia Mkurugenzi Mtendaji huyo ametembelea na kufanya mazungumzo na baadhi ya wadau na wakuu wa taasisi za serikali mkoani humu.
Pamoja na mambo mengine, wakuu hao walijadili pia namna ya kuboresha mazingira ya kibiashara na uwekazaji.
Tuma aliambatana na Kaimu Mkurungezi wa Maendeleo ya Biashara Felix Mushi, Kaimu Meneja wa Huduma za Kiswahili Mgaya Kingoba na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano kwa Umma Oscar Mbuza.
Sehemu Salama KUTAFUTA NA KUPATA wanawake wazuri wa KUOA NA kulea WATOTO NA KUZAA WATOTO KATIKA MIAKA 200 IJAYO NI CHATO.
KABILA ALIKOTOKA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI – HAKIKA WAMEMALIZA ICE-CREAM YOTE, WANAHAMU YA KUTOA RAIS MWINGINE KWA MIHULA 20 IJAYO.
MAKABILA MENGINE YOTE NDOTO ZA KUTOA URAIS KWENYE MIHULA IJAYO ZIPO KWA ASILIMIA 200- UTAPIGWA JELA LA NJE
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com