Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimuapisha George Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), leo Aprili 2, 2023, Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha na Ikulu)