Ubalozi wa Uswidi nchini wazindua lori la gesi asilia

DAR ES SALAAM: KATIKA kuadhimisha miaka 60 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Uswidi, Ubalozi wa Uswidi nchini umezindua kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati rafiki kwa mazingira katika usafirishaji ili kulinda mfumo wa ikolojia nchini na kukabiliana mabadiliko ya tabianchi.
Hayo yameelezwa leo Oktoba 02, 2023 na Balozi wa Uswidi nchini, Charlotta-Ozaki Macias jijini Dar es Salaam, wakati akizindua ziara ya kusafiri kwa usalama ‘The Clean Transport Tour’ kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa kutumia lori linalotumia nishati ya gesi asilia.
“Tanzania na Uswidi kwa muda mrefu imekuwa na mahusiano mazuri katika kila nyanja ya kimaisha kwa takribani miaka 60 sasa ikiwemo katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kuna matokeo mengi chanya ya kujifaharisha nayo, ambapo pia tumejifundisha namna bora ya kufanikiwa siku za usoni,” amesema Macias.
Aidha, kupitia ziara hiyo inayoratibiwa na Ubalozi wa Uswidi kwa kushirikiana na Kiwanda cha Kiswidi cha utengenezaji wa magari ya Scania,
Mkurugenzi Mtendaji wa Scania nchini, Ali Dar amesema lori la gesi la scania limefuata utaratibu wa matumizi sahihi ya nishati rafiki kwa mazingira, injini ya Euro 6, inayofanya kazi kwenye gesi asilia iliyobanwa kwa hiari au biogas.
“Lori hili la Scania lilizinduliwa rasmi nchini Tanzania mwaka 2021, ni lori la kisasa linaloenda sambamba na mabadiliko ya kiteknolojia ambalo litatumia gesi asilia (CNG) lakini pia gharama zake ni nafuu kulinganisha na lori linalotumia mafuta,” amesema Dar.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL “CONFERENCE” DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE
ULIMWENGU WA NDOTO
One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE
Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA
Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU
Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA
Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE
Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR
Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS
Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI
Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI
Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS
Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana