MTWARA; WANAWAKE wametakiwa kufahamu kuwa hakuna mwanaume mbaya, bali ubaya unaonekana kwa baadhi ya wanaume unatengenezwa na shetani.
Mtumishi na Mwalimu wa neno la Mungu, Joyce Kangonji amesema hayo wakati akifundisha neno la Mungu katika semina ya wanawake ambayo imeandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ushirika Kanisa Kuu Mtwara.

“Hakuna mwanaume mbaya, ubaya kwa mwanaume unatengenezwa na shetani,” amesema.
Mwalimu Joyce amesema wanawake wanapaswa kujua hilo na kutambua na kuishi katika misingi ya kimungu ambayo inawataka wanawake kuwa walinzi na wasaidizi kwa mwanaume.
Amesema wanawake wakiishi kwa misingi ya kimungu wakizingatia kuwa wao ni walinzi na wasaidizi kwa wanaume wao shetani, hatapata nafasi ya kuingiza ubaya kwa mwanaume.
I was able to find good info from your blog articles.
Viagra * Cialis * Levitra
All the products you are looking for are currently close by in support of 1+1.
4 more tablets of one of the following services: Viagra * Cialis * Levitra
https://pxman.net