‘Uhusiano Tanzania, Indonesia utandelea kudumu’

DAR ES SALAAM; Indonesia na Tanzania zimesherehekea historia ya uhusiano wa mataifa hayo mawili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Tri Yogo Jatmiko, amesema mataifa hayo licha ya kuwa mbali kijiografia na kusababisha changamoto za kibiashara, lakini zina ukaribu mkubwa wa mila, tamaduni na maadili.
Pia amesema serikali hizo mbili zina mpango wa kukaa kujadili njia za kuboresha sekta ya usafirishaji na changamoto zinazozikabili nchi hizo mbili.
Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Mizara ya Mambo ya Nje, Balozi Samwel Shelukindo ameeleza Tanzania wanaweza kupata masoko ya biashara kupitia uwekezaji wa nchi mbalimbali ikiwemo Indonesia na kuahidi kuendeleza uhusiano huo uliodumu kwa takribani miaka 60.
Pia mwekezaji kutoka Indonesia Feri Augustine, amesema ana imani uhusiano uliopo baina ya Tanzania na Indonesia una nguvu kubwa katika maendeleo na utaendelea kudumu.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
By Just Follow………….. http://Www.Smartwork1.Com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com