Uingereza hawana haraka kutuma vikosi Ukraine

UINGEREZA imesema hakuna mipango ya haraka ya kupeleka vikosi vya kijeshi nchini Ukraine, Waziri Mkuu, Rishi Sunak amesema.

Hatua hiyo ni baada ya waziri wake wa ulinzi kupendekeza kuwa wanajeshi wanaweza kufanya mafunzo nchini humo.


Hadi sasa, Uingereza na washirika wake wamesitisha kupelekea vikosi vya kijeshi Ukraine ili kupunguza hatari ya mzozo na Urusi.

Waziri wa Ulinzi wa Uingereza, Grant Shapps ambaye aliteuliwa kushika nafasi hiyo mwezi uliopita, alisema katika mahojiano na Gazeti la The Sunday Telegraph kwamba anataka kupeleka wakufunzi wa kijeshi nchini Ukraine, pamoja na kutoa mafunzo kwa vikosi vya kijeshi vya Ukraine au nchi nyingine za Magharibi.



Saa chache baada ya mahojiano hayo kuchapishwa, Sunak alisema hakuna mipango ya haraka ya kutuma wanajeshi wa Uingereza nchini Ukraine.

” Waziri wa ulinzi alichokisema ni kwamba huenda ikawezekana siku moja katika siku zijazo kwa sisi kufanya baadhi ya mafunzo hayo nchini Ukraine,” Sunak aliwaambia waandishi wa habari mwanzoni mwa kongamano la kila mwaka la chama tawala cha Conservative mjini Manchester.

“Lakini hilo ni jambo la muda mrefu, si la hapa na pale. Hakuna wanajeshi wa Uingereza ambao watatumwa kupigana katika mzozo uliopo.”aliongeza Sunak.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MaryRobbins
MaryRobbins
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by MaryRobbins
AngliaSteve
AngliaSteve
2 months ago

Working part-time and making an extra $15,000 or more online is a simple and quick method to gain money. I made $17,000 in the previous month by working in my spare time, and I am really satisfied now as a result of this job. 
.
.
Detail Here——————————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

MAPESA1234567
MAPESA1234567
2 months ago

HE/SHE DIED WITH CARDINAL RUGAMBWA HOSPITAL “CONFERENCE” DISEASE… THE HISTORY OF THIS DISEASE WAS KILLED MORE THAN 5 MILION PEOPLE AROUND THE WORLD MANY WAS CHINESE, EROPEAN, KOREAN AND INDIANS… ALL WHERE WHITE SKIN PEOPLE

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x