Ukweli wote kifo cha Askari aliyegongwa na gari

Kamanda asimulia

MWANZA: Kamanda wa Jeshi Polisi mkoani Mwanza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Wilbrod Mutafungwa amewaongoza mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa askari wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, WP. 3984 Sanjenti, Stella Alfonce (49).

Sanjenti Stella Alfonce alifariki Novemba mosi mwaka huu katika eneo la Nyamuhongolo kwa kugongwa na gari la shule ya Nyamuge ya jijini Mwanza akitekeleza majukumu yake ya kazi .

Ibada ya kuaga mwili wa askari huyo imefanyika katika Kanisa Katoliki Kigango cha Isegeng’he Parokia ya Nyakato Jijini Mwanza.


Kamanda Mutafungwa amesema uhai wa Stella umetoweka akiwa anatekeleza majukumu yake ya kusimamia sheria za usalama barabarani.

“Mwenzetu amefariki akiwa analitumikia taifa, tuna kila sababu ya kumuombea na kumkumbuka kwa ushujaa wake” amesema Kamanda Mutafungwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Rachel B. Stewart
Rachel B. Stewart
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Rachel B. Stewart
MeghanSmith
MeghanSmith
1 month ago

Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here———————————————————->>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
1 month ago

In 2023 many people are now joining online jobs very fast because it has potential. i joined this 3 months ago and in 3 months I totally received $50743 and all I was doing is copy and paste stuff in my part time. Join now and start making money:-

.
.
.
From this website: …> > > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x