Ummy: Tumieni ARV kwa usahihi

DODOMA: WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amewataka watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kuzingatia matumizi sahihi na endelevu ya dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI (ARV) ili kuendelea kujilinda na kuwalinda wengine.
Waziri Ummy ameyasema hayo katika kilele cha Mdahalo wa Kitaifa wa Baraza la Taifa la watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania (NACOPHA) uliofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
“Nataka kuwasisitiza watu wanaoishi na virusi vya ukimwi kuzingatia matumizi sahihi na endelevu ya dawa za kufubaza ugonjwa huo ili kujilinda nyie wenyewe lakini pia na kuwalinda wengine na ugonjwa huo”. Amesema Ummy
Aidha, amesema kuwa Jarida Maarufu la Kimataifa la Sayansi na Afya (Lancet) limethibitisha pasi na shaka ikiwa watu wenye virusi vya ukiwmi wakitumia vizuri dawa za ARV basi inapunguza maambukizi kwa wengine kwa asilimia zaidi ya 70.
“Kwahiyo niwaombe sana ndugu zangu wanaoishi na virusi vya ukimwi tuendelee kuzingatie matumizi sahihi na endelevu ya ARV ili tuwakinge na wenzetu”. Amesisitiza
Kampuni ya Kushiriki kwenye JAMBO LOLOTE MEZANI: KARIBU TUSHIRIKI:-
1. KUONGOZA NCHI (RAIS YUPO NA VINGORA NA WALINZI)
2. KUTAFUNA CHAKULA (Mdomo wetu)
3. KUFIKIRI (AKILI YANGU)
4. KUONA (MACHO YANGU)
5. KULALA (UCHOVU WETU)
6. KUHISI (HISIA ZETU)
7. KUSIKILIZA (MASIKIO YETU)
8. KUSINZIA (USINGIZI WETU)
9. KULALAMIKA (TABU WETU)
10. KUONGEA (Mdomo wetu)
11. KUKAA KWENYE KITI (Mkalio yetu)
12. KUTAFUTA HELA (Mbinu zetu)
13. KULA MATENDO YAKE (Akifanyacho chetu)
14. KULA MANENO YAKE ( Aongeacho chetu)
15. KUONGEA PEKEYAKO (AONGEACHO chAKE)
16. KUSIKILIZA PEKEYAKO
17. KUJENGA NYUMBA
18. KUANDIKA KITABU
19. KUJIPA TABU
20. KUANDIKA
21. KUONYESHA
MAANA HAELEWI/HAELEWEKI
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
Kampuni ya Kushiriki kwenye JAMBO LOLOTE MEZANI: KARIBU TUSHIRIKI:–
1. KUONGOZA NCHI (RAIS YUPO NA VINGORA NA WALINZI)
2. KUTAFUNA CHAKULA (Mdomo wetu)
3. KUFIKIRI (AKILI YANGU)
4. KUONA (MACHO YANGU)
5. KULALA (UCHOVU WETU)
6. KUHISI (HISIA ZETU)
7. KUSIKILIZA (MASIKIO YETU)
8. KUSINZIA (USINGIZI WETU)
9. KULALAMIKA (TABU WETU)
10. KUONGEA (Mdomo wetu)
11. KUKAA KWENYE KITI (Mkalio yetu)
12. KUTAFUTA HELA (Mbinu zetu)
13. KULA MATENDO YAKE (Akifanyacho chetu)
14. KULA MANENO YAKE ( Aongeacho chetu)
15. KUONGEA PEKEYAKO (AONGEACHO chAKE)
16. KUSIKILIZA PEKEYAKO
17. KUJENGA NYUMBA
18. KUANDIKA KITABU
19. KUJIPA TABU
20. KUANDIKA
21. KUONYESHA
MAANA HAELEWI/HAELEWEKI
JOB APPLICATION….
Mama mjamzito akamatwa na madawa ya kulevya kilo 33.8 za bangi, misokoto 412, kete 85 aliyokuwa ameficha kwenye Miguu iliyoshonwa kiufasaha na ilikuwa kama imevimba….