United yamtangaza Mount

Klabu ya Manchester United ‘The Red Devil’ imemtangaza kiungo mshambuliaji Mason Mount kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo akitokea Chelsea ‘The Blues’.

Mount amesaini mkataba wa miaka mitano utakaomuweka klabuni hapo hadi 2027, wenye kipengele cha kuongeza mwaka mmoja.

United imekamilisha dili hilo kwa uhamisho wa £55m ikiwemo add ons ya £5m.

“Nimefurahi sana kufanya kazi chini ya Erik ten Hag. Si rahisi kamwe kuondoka katika klabu uliyokulia lakini Man Utd itatoa changamoto mpya ya kusisimua kwa msimu ujao”. Amesema Mount.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angela Cook
Angela Cook
2 months ago

I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.
To learn more, see this article———>>> https://workscoin1.pages.dev/

Last edited 2 months ago by Angela Cook
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x