“Uraia pacha unahitaji mjadala kitaifa”

Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea ripoti ya Kamati ya Kutathmini Ufanisi na Utendaji wa Wizara wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ikulu Jijini Dar es salaam.
Kamati hiyo imesema suala la uraia pacha linahitaji mjadala wa Kitaifa ili kupata maoni ya Wananchi wote.
“Kwakuwa Serikali iliahidi kukamilisha mchakato wa hadhi maalum ili kukidhi shauku ya Diaspora Tanzania Kamati inashauri jambo hilo likamilishwe, hadhi maalum itatoa fursa kwa Diapora kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na kupata haki ya kushiriki katika masuala ya kiuchumi na kijamii katika nchi yao ya asili.
Serikali iandae utaratibu wa kuelimisha umma kuhusu hadhi maalum na faida zake” “Kuhusu suala la uraia pacha maoni ya Kamati ni kwamba jambo hili linahitaji mjadala wa Kitaifa ili kupata maoni ya Wananchi wote.” Amesema Rais Samia.
Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following
the details here…… http://Www.Smartcash1.com
Making an extra $15,000 per month from home by performing simple internet copy and paste jobs. This basic at-home job paid me $18,000 each year. Everyone may now easily make extra money online.
Detail Here—->> http://Www.Easywork7.com
Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Tukifanyikiwa:-
KUTAKUWA NA AKILI ZA
WAMEGOMA KUWA MCHINGA ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA
Tukifanyikiwa:-
KUTAKUWA NA AKILI ZA
WAMEGOMA KUWA MCHINGA/MWANAFUNZI WA CHUO ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA