UTAFITI: Mbegu safi za muhogo huongeza asilimia 81 mavuno

TAFITI nchini Tanzania zimeonyesha kwamba zao la muhogo lililopandwa kwa kutumia mbegu bora zilizo safi huzaa mavuno mengi kwa ongezeko la asilimia 81 zaidi ya mavuno ya muhogo uliopandwa kwa kutumia mbegu zisizo safi.
Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilimo cha Kitropiki (IITA), Juma Yabeja ameyasema hayo wakati akizungumza na HabariLeo katika maonesho ya mazao yaliyofanyika katika viwanja vya taasisi hiyo kama sehemu ya program ya kongamano kubwa la chakula linaloendelea mkoani Dar es Salaam.
Amesema mbegu hizo zisizo safi wakulima hurudia kuzipana kila mwaka bila ambazo zinakuwa hazijathibitishwa na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci).
“Tafiti zilizofanywa na IITA na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), kwenye Kanda za Pwani na Ziwa, mwaka jana na mwaka huu zimeonyesha kwamba matumizi ya mbegu bora za muhogo zilizothibitishwa na Tosci huongeza mavuno karibia mara mbili ukilinganisha na mbegu bora zisizo safi,
“Ambazo wakulima hurudia kuzipanda kila mwaka bila kuthibitishwa na Tosci. Aina tatu za mbegu bora zilijaribiwa na mavuno yake yalifanana,” alisema.
Amewashauri wakulima kuanzisha mashamba mapya ya muhogo kwa kutumia mbegu bora zilizothibitishwa.
Amesema mbegu hizo hupatikana kwa wakulima wazalishaji wanaosimamiwa na Tosci hapa nchini
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. (6t7) I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
Go here for info==========>> http://www.SmartCareer1.com
My previous pay was $8750 and I only worked 12 hours each week. My long-term neighbor estimated $15,000 and works around 20 hours every day for seven days. When I looked up his details, I couldn’t believe how direct he was.
.
.
Detail Here——————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
KAAGANA NA UKOO WAKE KWA AJILI YA KUFUNDISHA MATUMIZI SAHIHI YA MAGARI YA TAKATAKA MJINI
BAKELI USED ZA KUZOLEA TAKATAKA MJINI
KIONGOZI HATAKI KUOA TAKATAKA JAPOKUWA AMEOA MKEWE MATUMIZI 700,000 KWA SIKU
KAAGANA NA UKOO WAKE KWA AJILI YA KUFUNDISHA MATUMIZI SAHIHI YA MAGARI YA TAKATAKA MJINI
BAKELI USED ZA KUZOLEA TAKATAKA MJINI
KIONGOZI HATAKI KUOA TAKATAKA JAPOKUWA AMEOA MKEWE MATUMIZI 700,000 KWA SIKU..
Utafiti Unaonyesha Miaka 2003 Mwanaume wa Kwanza alipatikana akiwa na Mboo size ya STICK ZA KUTOLEA UCHAFU KWENYE MENO… cHINI YA MASHINE NA KIBAMIA
Penis: 20 Different Types, Shapes, and Things to Know (healthline.com)
MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE
MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE..
MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE…
Application for Job