UTAFITI: Mbegu safi za muhogo huongeza asilimia 81 mavuno

 

TAFITI nchini Tanzania zimeonyesha kwamba zao la muhogo lililopandwa kwa kutumia mbegu bora zilizo safi huzaa mavuno mengi kwa ongezeko la asilimia 81 zaidi ya mavuno ya muhogo uliopandwa kwa kutumia mbegu zisizo safi.

Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilimo cha Kitropiki (IITA), Juma Yabeja ameyasema hayo wakati akizungumza na HabariLeo katika maonesho ya mazao yaliyofanyika katika viwanja vya taasisi hiyo kama sehemu ya program ya kongamano kubwa la chakula linaloendelea mkoani Dar es Salaam.

Amesema mbegu hizo zisizo safi wakulima hurudia kuzipana kila mwaka bila ambazo zinakuwa hazijathibitishwa na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci).

“Tafiti zilizofanywa na IITA na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), kwenye Kanda za Pwani na Ziwa, mwaka jana na mwaka huu zimeonyesha kwamba matumizi ya mbegu bora za muhogo zilizothibitishwa na Tosci huongeza mavuno karibia mara mbili ukilinganisha na mbegu bora zisizo safi,

“Ambazo wakulima hurudia kuzipanda kila mwaka bila kuthibitishwa na Tosci. Aina tatu za mbegu bora zilijaribiwa na mavuno yake yalifanana,” alisema.

Amewashauri wakulima kuanzisha mashamba mapya ya muhogo kwa kutumia mbegu bora zilizothibitishwa.

Amesema mbegu hizo hupatikana kwa wakulima wazalishaji wanaosimamiwa na Tosci hapa nchini

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
10 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
HeavenMeadow
HeavenMeadow
22 days ago

I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. (6t7) I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.

Go here for info==========>> http://www.SmartCareer1.com

Julia
Julia
22 days ago

My previous pay was $8750 and I only worked 12 hours each week. My long-term neighbor estimated $15,000 and works around 20 hours every day for seven days. When I looked up his details, I couldn’t believe how direct he was.
.
.
Detail Here——————————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

DeniseLomanto
DeniseLomanto
22 days ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 22 days ago by DeniseLomanto
Ramani ya Nyumba
Ramani ya Nyumba
22 days ago

KAAGANA NA UKOO WAKE KWA AJILI YA KUFUNDISHA MATUMIZI SAHIHI YA MAGARI YA TAKATAKA MJINI

BAKELI USED ZA KUZOLEA TAKATAKA MJINI

KIONGOZI HATAKI KUOA TAKATAKA JAPOKUWA AMEOA MKEWE MATUMIZI 700,000 KWA SIKU

Capture.JPG
Ramani ya Nyumba
Ramani ya Nyumba
22 days ago

KAAGANA NA UKOO WAKE KWA AJILI YA KUFUNDISHA MATUMIZI SAHIHI YA MAGARI YA TAKATAKA MJINI

BAKELI USED ZA KUZOLEA TAKATAKA MJINI

KIONGOZI HATAKI KUOA TAKATAKA JAPOKUWA AMEOA MKEWE MATUMIZI 700,000 KWA SIKU..

Capture.JPG
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
22 days ago

Utafiti Unaonyesha Miaka 2003 Mwanaume wa Kwanza alipatikana akiwa na Mboo size ya STICK ZA KUTOLEA UCHAFU KWENYE MENO… cHINI YA MASHINE NA KIBAMIA

Penis: 20 Different Types, Shapes, and Things to Know (healthline.com)

TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
22 days ago

MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE

R.jpeg
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
22 days ago

MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE..

ndalichako.jpg
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
TICK ZA KUTOLEA UCHAFU
22 days ago

MAJIBU YA MTIHANI WA JANA PROFESA SAISHA!? HIKI NDIO NIKIJUACHO HUSAIDIA JAMII KUONDOA ILE…

ndalichako.jpg
njoo tutafute nyingine”
njoo tutafute nyingine”
22 days ago

Application for Job

download.jpeg
Back to top button
10
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x