Uwanja wa ndege Dom kufungwa taa

safari za usiku kuanza Novemba

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Ladislaus Matindi amesema ndege zitaanza safari za usiku katika uwanja wa Dodoma ambao kwa sasa zoezi la ufungaji taa linaendelea na linatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Novemba mwaka huu.

Matindi, ametoa taarifa hiyo leo Julai 02, 2023 katika ziara yake kwenye Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba 2023, barabara ya Kilwa, Dar es Salaam.

“Tunaambiwa kufikia mwezi wa 11 watakuwa wamemaliza na hivyo kuwapa wigo mpana zaidi wateja wanaoingia na kutoka makao makuu ya nchi kuchagua saa ngapi wasafiri.”

Aidha, Matindi amesema kufikia mwishoni mwa mwezi wa saba nguvu yao ya utoaji huduma itakuwa imeongezeka zaidi kwa kuwa kuna uhitaji mkubwa

Akitolea mfano wa Mkoa wa Mwanza Matindi amesema sasa hivi kuna ndege tatu za kwenda Mwanza lakini mahitaji ya Mkoa huo ni zaidi ya ndege tatu

“Tumeendelea kuongeza idadi ya ndege, kwa sasa tuna ndege 12 tegemea kupata ndege tatu zaidi, mbili za masafa ya kati aina ya Boeing 737 na Dreamliner moja.”

Hata hivyo amesema changamoto iliyoikumba ATCL na dunia juu ya ndege za Airbus tayari zimashatatuliwa

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Julia
Julia
2 months ago

Making an extra $15,000 per month from home by doing simple copy and paste like online work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone can now easily generate extra money online.
.
.
Detail Here———————————————————–>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Last edited 2 months ago by Julia
Dorothy G. Christopher
Dorothy G. Christopher
2 months ago

I’m earning a respectable $60k/week from home, which is amazing considering that a year ago I was unemployed in a terrible economy. These instructions cs11 were a gift, and now it’s my responsibility to spread kindness and make them available to everyone.
.
.
Information Is Here———————————————>>>  http://www.pay.hiring9.com

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x