UWT yapongeza ujenzi shule ya wasichana

MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda amepongeza mradi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga ambayo imejengwa kwa gharama ya sh Bilioni 4 .
Kwa sasa shule hiyo inafanya kazi na wanafunzi wanasoma katika mazingira yaliyo salama .
Akizungumza leo katika Ukaguzi wa Shule hiyo ya Wasichana, Chatanda amesema lengo la serikali ya Rais Samia ni kuhakikisha watoto wa Tanzania wanasoma katika mazingira mazuri na Salama ili kuongeza ufaulu mzuri na ndio maana kila Mkoa shule za Wasichana Maalumu zimejengwa .
” Niwaombe watoto wangu kuendelea kutunza Miundombinu iliyopo katika shule yenu kwa kuwa Serikali yenu imetumia fedha nyingi katika kuhakikisha inajengwa shule yenye Miundombinu mizuri na yenye tija kwa wanafunzi katika kuongeza ufauru mzuri ”
I am receiving $88 every hour to work on-net. I’ve never believed like it can be achievable however YHUG one of my greatest pal got $27,000 just in three weeks just working this simple project & she influenced me to avai.
For more info visit………….. http://www.SmartCash1.com
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here———————————————————>>> http://Www.OnlineCash1.Com
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO
Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,
MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU YA KI.KING INAKUUNGA MKONO