Van Der Sar alazwa ICU

IMEELEZWA golikipa wa zamani wa Manchester United, Edwin Van Der Sar amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) baada ya kupata kuumia kichwani na damu kuvuja katika ubongo.

Mholanzi huyo amekutana na changamoto hiyo alipokuwa kwenye mapumziko huko Split nchini Croatia.

Baada ya kukutana na shida hiyo, Van Der Sar mwenye umri wa miaka 52 aliwahishwa hospitali.

Advertisement

Taarifa zaidi kukujia.

5 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *