“Vijana na Wanawake pokeeni teknolojia mpya
Mabadiliko yanachangia serikali kuboresha sera

DAR ES SALAAM: SERIKALI imewataka wanawake hasa vijana kuwa tayari kupokea teknolojia mpya zinazoibuka kwa kasi na kamwe wasikubali kushindwa bali wazitumie kwa ubunifu kutoka ngazi moja hadi nyingine kwa kuwa mabadiliko hayo yanachangia serikali kuboresha sera.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Selestine Kakele amesema hayo leo Dar es Salaam katika mkutano wa saba wa Tehama ulioandaliwa na Tume ya Tehama nchini (ICTC).
Amesema takwimu za dunia zinaonesha idadi ndogo ya wanawake katika kuanzisha kampuni changa za Tehama na kusisitiza wanawake hasa Vijana kuwa na hamasa ya kuanzisha kampuni changa lakini ubunifu huo ujikite kutoa suluhu ya ushiriki wa kundi hilo kwenye Tehama.
Aidha amelitaka kundi hilo kujikita kubuni teknolojia rahisi zenye kusaidia waliopo vijijini waweze kujikwamua na shughuli yaani zisaidie maisha ya watu na kuzitaka taasisi za fedha kutoa ufadhili kwa kampuni changa ili ziimarike na zitoe mchango wake kwa Taifa.
Amesema inaendelea kupitia sera ya Tehama nchini ya mwaka 2016 Ili kuiboresha na iweze kwenda na wakati na kutoa mchango wake kwa maendeleo ya nchi.
Imesema sera hiyo inasimamia nguzo sita ambazo ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Tehama,usimamizi wa mazingira salama ,utoaji wa elimu kuhusu tehama,ubunifu,uchumi jumuishi wa kidigitali na huduma za fedha.
Amesema kupitia maboresho hayo ya sera katika nguzo ya uchumi wa kidigital lengo ni kupunguza ama kuondoa kabisa pengo la watumiaji na wasiotumia tehama
.
Amesema katika eneo hilo litashughulikia vikwazo kwamba kila mtu ashiriki na afaidike na uchumi wa kidigitali.
Amesema wanawake ni jeshi kubwa wakiamua kwa pamoja wanaweza kupunguza pengo hilo hivyo watimize wajibu wao na kwamba pindi wakutanapo na vikwazo wasikate tamaa bali wasonge mbele.
Awali akizungumza Mkurugenzi Mkuu wa ICTC,Dk Nkundwe Mwasaga amesema kupitia mkutano huo Tehama itatoa elimu kwa umma kuhusu changamoto na mafanikio ya wanawake na Vijana katika tehama, uchumi wa kidigitali lakini pia suala zima la mchango wa akili bandia kwa maendeleo.
Earn income while simply working online. work from home whenever you want. just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $19,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here—————————————>>> https://www.easywork7.com
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. ( t04q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job. All you need to know is how to copy and paste items online.
Click and Copy Here════►► http://Www.SmartCareer1.com
I recently received my first check for a total of $13,000. This is when I first truly obtained anything, and I feel so energised. I will now work much harder, and I can scarcely wait till the installment the following week.
.
.
Detail Here————————————————————->>> http://Www.BizWork1.Com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………. http://Www.Smartcash1.com