“Vijana wabadilishwe mitazamo kuziendea fursa”

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ni lazima vijana wabadilishwe mitizamo yao juu ya fursa mbalimbali zinazopatikana Afrika na kuondoa ile mitizamo ya kwenda nje ya bara hili kutafuta maisha.

Rais Samia ameyasema hayo leo Julai 26, 2023 katika mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu rasilimali watu unaoendelea katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julias Nyerere Dar es Salaam.

“Idadi kubwa ya vijana tulio nao Afrikia ni fursa ya pekee kwa mageuzi ya uchumi wetu, kuliko kuwaacha wavuke bahari wapigwe njiani wazamishwe, kwa ajili ya kusema kwamba wanakwenda aulaya kutafuta maisha bora, maisha bora watayapata Afrika tukiwaendeleza,”amesema Samia

Aidha Rais Samia amesema ni lazima elimu ya uzazi itolewe kwa vijana ili kuendana na hali ya idadi ya watu ilivyo kwa sasa katika bara la Afrika.

“Ni lazima tuwafundishe watoto wetu kuhusu uzazi wa mpangilio, Afrika tuna idadi kubwa sana ya watu na hii inaweza kutuletea tija au kutuletea mambo yasiyofaa kama hatutoitumia vizuri,’amesema Samia.

Rais Samia ameongeza pia ni lazima kuongeza manufaa kutokana na elimu na mafunzo yanayotolewa katika nchi za Afrika ili kuongeza tija kwa vijana kukuza uchumi wa nchi za Afrika.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
MelissaMartin
MelissaMartin
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by MelissaMartin
jeeeena
jeeeena
Reply to  MelissaMartin
1 month ago

I am making really good money (80$ to 100$ / hr. )online from my laptop. I was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. sd370 I experience mass freedom now that I’m my non-public boss.
Everybody should start earning money online by
.
.
using this website____ https://fastinccome.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by jeeeena
penejoc177
penejoc177
Reply to  MelissaMartin
1 month ago

My buddy’s mother-in-law gets $80 an hour on the internet. she has been without work for 12 months but last month her earnings was $16778 just working at home for a few hours per week.
.
.
check out this site………… http://www.join.salary49.com

Last edited 1 month ago by penejoc177
Julia
Julia
1 month ago

Working part-time and making an extra $15,000 or more online is a simple and quick method to gain money. I earned $17,000 in the previous month by working in my spare time, and I am really happy now as a result of this job.
.
.
Detail Here———————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Hotel Riu Palace Zanzibar
Hotel Riu Palace Zanzibar
1 month ago

Watoto Wenye Tabia ZIFUATAZO WAMESHINDA NA WAMEAMUA MSHINDE KILA MMOJA MILION 60
•            MWIZI
•            BASHA (MAPENZI YA JINSIA MOJA)
•            MSAGAJI (MAPENZI YA JINSIA MOJA)
•            KICHAA
•            JAMBAZI
•            MALAYA
•            MLEVI
•            MUUAJI
•            TAILA
•            TASA
•            WABAKAJI
•            MLAWITI
•            MVUTA SIGARA
•            MVUTA BAGI
•            MTUMIA MADAWA YA KULEVYA
•            MTEMBEA UCHI
·             KIKOJOZI

KAMA UNA HIZI TABIA AU MWEZAKO ANA HIZI TABIA TUMA UJUMBE /JINA KWENDA 5660 AU PIGA 0800751000 BURE

Money
Money
1 month ago

Taulo za kike

Tangazo.PNG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x