Vini aumia tena

MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Vinicius Junior ameondoka kwenye kambi ya timu ya taifa ya Brazil kutokana na jeraha la misuli.

Nyota huyo amerejea Madrid usiku wa jana kwa ajili ya kufanyiwa tathmini zaidi.

Hata hivyo taarifa zinaeleza kwamba jeraha hili sio kubwa, huku zikisubiliwa taarifa rasmi za klabu za muda gani atakuwa nje ya uwanja.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
20 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions..
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x