Viongozi mbalimbali msibani kwa Membe

Mbowe: Ni pigo kumpoteza Membe

VIONGOZI mbalimbali wa serikali, vyama vya siasa na viongozi wastaafu leo wamefika nyumbani kwa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, marehemu Bernard Membe, Mikocheni, Dar es Salaam kuungana na waombolezaji wengine kwenye msiba huo.

Advertisement

Miongoni mwa viongozi waliokuwepo asubuhi hii ni Majaji Wakuu wastaafu, Barnabas Samatta na Othman Chande, ambapo pia alikuwepo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.

Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *