Viongozi wa dini wamuombea Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan  amefanya mazungumzo na viongozi wa dini Ikulu ndogo mkoani Mwanza.

Awali kabla ya mazungumzo hayo, viongozi hao wa dini wamemuombea  dua ya kheri katika kuliongoza Taifa muda mchache kabla ya kwenda kuhudhuria Tamasha la Utamaduni Bulabo mkoani humo leo Juni 13, 2023

Advertisement
/* */