Viongozi wa dini wanaojihusisha na siasa waonywa

VIONGOZI wa dini wamekemea vikali tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kusimama katika majukwaa ya kisiasa kunadi vyama vya siasa kwa kufanya hivyo ni kugawa waumini na jamii.

Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ,Padri Florence Lutaiwa amesema viongozi wa dini wana wajibu wa kukemea matendo maovu katika jamii na sio kupanda katika majukwaa ya kisiasa.

“Philosophy kuna mambo mawili ambayo mwanadamu anakutana nayo moja ni dini sisi viongozi wa dini tuna nafasi ya kusikilizwa ma tumeitwa ili viongozi wa dini tuweze kujua mipaka yetu katika siasa lengo letu sio kuchukua dola ila kuelekeza kufanya siasa nzuri mfano suala la bandari badala ya kujadilia kwa hoja sasa kinachoendelea dini imeingizwa.

Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiisalamu Tanzania, Sheikh Musa Yusuph Kundecha ameeleza kuwa sio vizuri viongozi wa dini kuwa mshabiki wa chama fulani kwani viongozi wa dini kazi yao haitakiwi kuchanganya na siasa na dhambi ya siasa ni mbaya kwasababu inahusu watu wengi.

“Niseme kuwa siasa na dini ni changamani ni vigumu kutenganisha na siasa ni mambo ya jamii na viongozi wa dini wanajishughulisha ,asipande katika jukwaa la siasa kuonesha chama gani kinafaa waepuke ubaguzi na kubagua lakini alipaswa kukemea makosa ya kisiasa ni makubwa viongozi wa kidini wanatakiwa kuangali hili kwa umakini zaidi,”amesisitiza.

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Mchungaji Moses Matonyah amesema viongozi wa dini wanatakiwa kuwachunga Watanzania wote ambao wanatoka katika vyama vya siasa wote wanahitaji huduma kutoka kwao.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ErmThao
ErmThao
2 months ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by ErmThao
julizaah
julizaah
Reply to  ErmThao
2 months ago

My buddy’s mother-in-law gets $80 an hour on the internet. she has been without work for 12 months but last month her earnings was $16778 just working at home for a few hours per week.
.
.
check out this site………… http://www.join.salary49.com

Last edited 2 months ago by julizaah
Arsmella
Arsmella
2 months ago

>>>> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
2 months ago

Earn money simply by working online. You are free to work from home whenever you choose. You may earn more than $600 per day working only 5 hours per day online. I made $18,000 with this in my spare time.
.
.
Detail Here———————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Money
Money
2 months ago

m

Tangazo.jpg
Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
2 months ago

Chat to Live Support

MAPINDUZI.PNG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x