Vitambulisho kidijitali kuwapa mikopo Machinga

KAMISHNA wa ustawi wa Jamii,  Nandera Mhando amesema serikali imekuwa ikishughulikia kanzidata za Kitaifa ili kuwaunganisha wafanyabiashara ndogo ndogo wote na kuwatambua ili kurasimisha waweze kupata mikopo, rasilimali fedha na huduma za kijamii.

Akizungumza katika kongamano la Machinga la Hatua kwa Hatua na Mama, alisema kwa sasa serikali ipo katika mchakato mkubwa wa kuwa na vitambulisho vya kigitali ili kuwasaidia kupata mikopo yenye riba nafuu.

Alisema pia serikali imekuwa ikishughulikia kuunganisha wafanyabiashara ndogo ndogo wote, wakiwa Wamachinga, bodaboda, mama lishe ili kuweza kupata fulsa kupitia wilaya zao.

Nandera alisema serikali imekuwa ikiwapanga Wamachinga katika maeneo ya mijini ili kuwezesha upatikanaji wa fedha ili ziweze kuboresha miundombinu ya masoko katika halmashauri mbalimbali.

“Kongamano hili litumike kama jukwaa maalum la Serikali na taasisi za umma na binafsi zinazofanywa shughuli mbalimbali kwa ushirikiano na machinga ili kuweza kufafanua shughuli zilizopo maene hayo” alisema

Mkurugenzi wa Taasisi ya Hatua kwa Hatua na Mama, Amur Mussa alisema ameanzisha taasisi hiyo ili kuunga mkono jitahada za Rais Samia Suluhu Hassan kwa msaada ambao amekuwa akiwapa Wamachinga.

Alisema sasa hivi Wamachinga wanaweza kukopeshwa hadi milioni mbili bila ya kuwa nadhama, tena kwa kiwango kidogo cha riba hadi asilimia 9 .

Mkurugenzi wa Vijana Imara Antu Mfananga, alisema wameshirikiana na taasisi na taasisi ya Hatua kwa Hatua na Mama amesema lengo kuwakutanisha vijana, ili kufungua njia zao katika biashara.

“Tunaweza kuomba Serikali yetu kuwe na masoko ya usiku, kuna watu wengi na biashara nyingi ambazo zinawezankufanywa wakati watu wakitoka katika majukumu” alisema.

Mwisho

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Laurachs
Laurachs
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Laurachs
Royal
1 month ago

I just got paid $7268 to work on my laptop this month. And if you think that’s cool, my divorced friend has toddler twins and made over $13,892 in the first month. It’s great to earn a lot of money while others have to work for much lower wages.
That’s what I do…….. http://Www.CareersHome.online

Julia
Julia
1 month ago

While working component time, I make more than $7k every month. I decided to have a look at it after saving hearing other people tell me how much money they could make online. Well, everything worked out just well and has undoubtedly changed my life.
.
.
Detail Here—————————————————————->>>  http://Www.BizWork1.Com

Angila
Angila
1 month ago

Work At Home For USA My buddy’s aunt makes $64/hr on the computer. She has been unemployed for eight months(a) but last month her but pay check was $12716 just working on the computer for a few hours.
Check The Details HERE……… http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x