Waandishi wa habari wafundwa

SONGWE: WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuwa mabalozi kulisaidia Jeshi la polisi kuibua matukio mbalimbali ya kihalifu yakiwemo madhila yanayowakuta wakiwa katika majukumu ya kutafuta habari ili kuhakikisha Jamii inakuwa salama pamoja mali zao.

Hayo yamesisitizwa na Kamishina Msaidizi wa Polisi Gallus Hyera akimwakilisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe katika mdahalo na waandishi wa habari na Jeshi la polisi ,alisema waandishi wa habari ni watu muhimu sana kwa sababu hufanya kazi nyingi ambazo husaidia jeshi hilo kupata taarifa mbalimbali za uhalifu.

Alisema Pamoja na ushirikiano mzuri wa Jeshi la polisi na waandishi wa habari Mkoa wa Songwe umekuwa na changamoto kwa baadhi ya askari wachache kutofuata maadili na Sheria zinazowaongoza hivyo kuwasababishia madhila wandishi wa habari.

“Mnapopata changamoto za aina zozote zinazoathiri utendaji wenu toeni taarifa mara moja tutawapa ushirikiano wa kutosha tutawachukulia hatua”.

“Hivyo Hivyo Kuna baadhi ya waandishi wachache kama ilivyo kwa maaskari wanakiuka misingi yenu ya maadili , tukemee ukanjanja kwenye hizi Kazi zetu ” amesema Kamishina Hyera.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
DEMOKRASIA
DEMOKRASIA
1 month ago

Hivi ni kweli BRAIN INA SEHEMU MBILI KAMA INAVYOONEKANA KWENYE PICHA HII? – MAANA HAWA B WANATAWALA SANA KAMA MATAKO…

R.jpeg
DEMOKRASIA
DEMOKRASIA
1 month ago

Hivi ni kweli BRAIN INA SEHEMU MBILI KAMA INAVYOONEKANA KWENYE PICHA HII? – MAANA HAWA B WANATAWALA SANA KAMA MATAKO…..

R.jpeg
DEMOKRASIA
DEMOKRASIA
1 month ago

Familia ya bwana MAPIGANO/KUTOKUZIKWA YATANGANZA VITA NA NCHI YA RWANDA YA KUBOMOA DARAJA LA MTO KAGERA PALE RUSUMO  KWA KUTUMIA MABOMU YA KUTENGWA KWA MKONO KWA SIKU 5 LENGO NI KUUWA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA RWANDA

Capture-1698396305.4695-232x300.jpg
DEMOKRASIA
DEMOKRASIA
1 month ago

Familia ya bwana MAPIGANO/KUTOKUZIKWA YATANGANZA VITA NA NCHI YA RWANDA YA KUBOMOA DARAJA LA MTO KAGERA PALE RUSUMO  KWA KUTUMIA MABOMU YA KUTENGWA KWA MKONO KWA SIKU 5 LENGO NI KUUWA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA RWANDA..

Capture-1698396305.4695-232x300.jpg
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x