Waandishi wapewa ‘dawa’ kukwepa rushwa ya ngono

DSM; MKURUGENZI Mstaafu wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa), Dk. Ananilea Nkya amesema rushwa ya ngono inaweza kukomeshwa na waandishi wa habari wanawake wenyewe kwa kuinuka na kufanya kazi kwa bidi, huku wakijiwekea malengo ya kufika mbali zaidi kutaaluma.
Dk Rose ameyasema hayo, jijini Dar es Salaam, katika kikao cha majadiliano kilichoandaliwa na TAMWA kwa kushirikiana na Mfuko wa Udhamini wa Wanawake Tanzania (WFT-T) kupitia mradi wa kuangazia rushwa ya ngono kwa wanahabari wanawake
“Ni muhimu kuhakikisha unafanya kazi kwa bidii na kuacha uzembe ukiwa kazini, weka malengo yako binafsi na uweze kuyafikia, heshimu kila mtu, andika stori nyingi hadi bosi wako kazini ashangae, ukifanya hayo heshima yako itakua kazini na rushwa ya ngono itakupitia mbali,” amesema Dk Nkya .
★Makes to per day online work and i received in one month online acting from home.I am a daily student and work simply one to a pair of hours in my spare time. (w 00q) Everybody will do that job online and makes extra cash by simply on this website
Just open the link══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
I just started 7 weeks ago and I’ve gotten 2 checks for a total of $2,000…this is the best decision I made in a long time! “Thank you for giving me this extraordinary opportunity to make extra money from home. go to this site for more details…open this web…………
See Here .. http://Www.Smartwork1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com