Waanza kujitokeza kurekebisha maumbo

MKURUGENZI wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema watu watano wamejitokeza kujisajili kupata huduma ya kurekebisha maumbo huku akisema zoezi hilo linalenga matibabu.
Prof Janabi amesema hadi sasa ni mgonjwa mmoja ameomba kufanyiwa huduma hiyo kwa ajili ya urembo ambapo awamu hii watafanya kwa watu 6 hadi 10.
“Tunategemea wahitaji zaidi kwa mara ya kwanza hatuwezi kufanya wengi na muda ni mdogo tutaona kwasababu tutafanya nyingine na wenzetu wa Afrika Kusini mwishoni mwa mwaka,”ameeleza Prof Janabi.
Mkuu wa Idara ya Upasuaji wa Muhimbili-Mloganzila Dk Erick Muhumba ameiambia HabariLEO kuwa wanafanya upasuaji wa aina mbili ambao wa kwanza ni upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi.
Ameainisha kuwa gharama za upasuji zinatofautiana kuanzia Sh milioni 15 hadi Sh milioni 25 ambapo inategemea na mtu na aina ya upasuaji na kadiri wanavyotofautiana na gharama zinatofautiana hata kama upasuaji ni mmoja.
“Hayo ni matibabu kwasababu kuna watu wana kisukari shida yake ni unene anapofanya upasuaji inamsaidia ,lakini pia kupunguza unene inalinda ,kuna magonjwa moyo,presha na figo na mengine yanalinda kiasi kubwa ni matibabu.
I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.
To learn more, see this article———>>> http://Www.Smartcash1.com
Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Tukifanyikiwa:-
KUTAKUWA NA AKILI ZA
WAMEGOMA KUWA MCHINGA ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA