Wabunge Uganda waja kujifunza sheria ya ndoa

WABUNGE kutoka nchini Uganda wapo nchini kwa ajili ya kujifunza namna sheria ya ndoa inavyotekelezwa hapa nchini, changamoto zilizopo kwa sasa na namna wanavyojipanga kuzitatua.

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake nchini Uganda, Sara Opendi amesema hayo baada ya kukutana na Menejimenti ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzamia ( LRCT).

Opendi amesema wamekuja kujifunza eneo hilo kwa sababu kwa serikali ya Uganda ipo kwenye mchakato wa kuandaa muswada wa sheria ya ndoa, hivyo wapo Tanzania kwa ajili ya kupata uzoefu kutoka nchi mbalimbali zinazotekeleza sheria hiyo ikiwemo Tanzania na Zimbabwe.

“Uganda kuna ndoa za aina nyingi ambapo muswada huo unategemewa kugusa jamii yote huku kama ambavyo Tanzania ilivyofanya kwa kuzingatia ndoa za kidini, ndoa za kimila na ndoa za serikali,” amesema.

Akielezea uzoefu kuhusu sheria ya ndoa, Katibu Mtendaji Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. Griffin Mwakapeje amesema tume inatambua ndoa kama taasisi ambayo haina budi kulindwa kwa lengo la kuwa na Taifa bora.

“Ni kutokana na hilo sheria inaweka masharti mbalimbali yakiwemo ya mke na mume kuishi pamoja kwa muda wa uhai wao, aina za ufungaji wa ndoa zinazotambuliwa,

“Nafasi ya mwenza wa ndoa kutoa ridhaa wakati wa kuuza mali za ndoa; masharti ya talaka; na masharti ya dhana ya ndoa baada ya wahusika kuishi pamoja bila kuisajili ndoa hiyo,” amesema.

Mwakapeje amesema uzoefu wa Tanzania unaonesha sheria moja ya ndoa ilipatikana mwaka 1971 baada ya maridhiano ya wanajamii wote na kuzifuta sheria nyingi zilizokuwepo ambazo zilikuwa zinasimamia masuala ya ndoa.

Amesema hivyo Uganda wanaweza kujifunza Tanzania ili na wao pia pamoja na mambo mengine waweze kuwa na sheria moja ya ndoa tofauti na ilivyo sasa.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
11 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
zurdeherdi
zurdeherdi
1 month ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://Fastinccome.blogspot.Com/

Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
Reply to  zurdeherdi
1 month ago

Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
·      Mgodi wa Dhahabu
·      Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
·      Mgodi wa Gas
·      Mgodi wa Uranium
·      Mgodi wa Mafuta
·      Mgodi wa Makaa ya mawe
·      Mgodi wa Tanzanite
·      Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
·      Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
·      Masoko ya madini
·      Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023

mapinduzii.JPG
KarenKerr
KarenKerr
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by KarenKerr
Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
Reply to  KarenKerr
1 month ago

Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
·      Mgodi wa Dhahabu
·      Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
·      Mgodi wa Gas
·      Mgodi wa Uranium
·      Mgodi wa Mafuta
·      Mgodi wa Makaa ya mawe
·      Mgodi wa Tanzanite
·      Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
·      Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
·      Masoko ya madini
·      Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023

mapinduzii.JPG
McKenzieJessa
McKenzieJessa
1 month ago

I make 100USD /hr while I’m traveling the world. Last week I worked on my laptop in Rome, Monti Carlo and finally Paris. 4y2 This week I’m back in the USA. All I do are easy tasks from this one cool site.
Check it out on this site……….>  http://www.SmartCash1.com

Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
Reply to  McKenzieJessa
1 month ago

Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
·      Mgodi wa Dhahabu
·      Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
·      Mgodi wa Gas
·      Mgodi wa Uranium
·      Mgodi wa Mafuta
·      Mgodi wa Makaa ya mawe
·      Mgodi wa Tanzanite
·      Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
·      Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
·      Masoko ya madini
·      Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023

mapinduzii.JPG
Julia
Julia
1 month ago

Making an additional $15,000 per month by performing simple copy-and-paste online work from home. With this easy at-home job, I made $18,000. Nowadays, anyone may simply make extra money online.
.
.
Detail Here—————————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
Reply to  Julia
1 month ago

Ratiba ya Ziara ya Mary Pius Chatanda KIONGOZI wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) KWENYE SEKTA YA MADINI ATATEMBELEA:-
·      Mgodi wa Dhahabu
·      Mgodi wa Almas(Kampuni ya Petra Diamond Ltd)
·      Mgodi wa Gas
·      Mgodi wa Uranium
·      Mgodi wa Mafuta
·      Mgodi wa Makaa ya mawe
·      Mgodi wa Tanzanite
·      Mgodi wa Uchimbaji Madini na Mawe
·      Ujenzi wa vituo vitatu vya umahiri
·      Masoko ya madini
·      Kampuni ya Mahenge Resources Limited (Black Rock Mining Ltd)
Kuanzia tarehe 23/8/2023 hadi tarehe 2/8/2023

mapinduzii.JPG
Chukua Kifo Hichoo
Chukua Kifo Hichoo
1 month ago

Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI JE YUPI ANATAKIWA?

Chukua Kifo Hichoo
Chukua Kifo Hichoo
1 month ago

Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA??

MAPINDUZI.GIF
Chukua Kifo Hichoo
Chukua Kifo Hichoo
1 month ago

Watoto wa Kwanza Kuzaliwa kwenye familia “mnakaribishwa kwenye kongamano la SERA YA MTOTO MMOJA” LITAKALOFANYIKA MBINGUNI KIINGILIO MTOTO WA PILI. JE YUPI ANATAKIWA AU YUPI HANA AKILI KABISA?

Au UNGANA NAO AU/ TOFAUTISHA TAKA NA TAKATAKA

MAPINDUZI.GIF
Back to top button
11
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x