Wahamiaji haramu 65 wakamatwa Katavi

WAHAMIAJI haramu 65 kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakiwa katika gari la kubebea mafuta wakisafirishwa kutoka Mwanza kuelekea nchini Zambia.

Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Majid Mwanga amesema raia hao wa kigeni waliokua wakisafirishwa bila kufuata utaratibu wamekamatwa katika kijiji cha Kamsisi wilaya hiyo wakiwa wamebebwa katika gari la kubebea mafuta .

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mlele, Soud Mbogo amesikitishwa na baadhi ya madereva kukiuka taratibu za matumizi ya vyombo vya usafirishaji.

Dereva wa lori hilo la mafuta, Msadick Msomolo amedai kuwa alipewa kazi hiyo na kaka yake aliyemfundisha kazi ya udereva na kumuahidi pesa nzuri endapo watafanikisha mpango huo.

Hata hivyo raia hao kwa sasa wamekabidhiwa kwa Jeshi la Uhamiaji Mkoa wa Katavi kwa ajili ya taratibu zingine za kisheria.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Elainloyd
Elainloyd
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by Elainloyd
JuliaRichard
JuliaRichard
1 month ago

Earn income while simply working online. Work from home whenever you want. Just for maximum 5 hours a day you can make more than $600 per day online. From this I made $18,000 last month in my spare time.
.
.
Detail Here===========================>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

CelineEmery
CelineEmery
1 month ago

Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. 6c7 I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job by.
just copy and paste……………….>  http://www.SmartCash1.com

Nottingham Forest
Nottingham Forest
1 month ago

TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO

INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
 ✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.

GHARAMA TSH CENT 1

Nottingham Forest
Nottingham Forest
1 month ago

TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO

INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.

 ✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.

GHARAMA TSH CENT 1

MAPINDUZI.GIF
Nottingham Forest
Nottingham Forest
1 month ago

TECHNOLOJIA YA UZAZI LEO

INCUBATOR YA KUZALISHA WATOTO WACHANGA WA BINADAMU.
 ✓Inazaliza watoto wachanga 20 kwa wakati mmoja. Huzalisha pia Ng’ombe, Ng’uruwe na Mbuzi. Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 98% ni full automatic na inageuza mtoto mchanga yenyewe. Ina mfumo rafiki sana kutumia. inatunza joto kwa zaidi ya masaa 75 baada ya umeme kukatika. iko stable na precise kwenye controlling ya joto na unyevu. utapata ofa ya drinker na feeder seti moja bure. ni mpya kabisa.

MAPINDUZI1.GIF
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x