Walker aongeza mkataba City

BEKI wa kulia wa Manchester City, Kyle Walker ameongeza mkataba wa miaka mitatu wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Kyle Walker: “ Hatuna cha kujitetea hapa City, kila kitu tulichonacho hapa, mioundombinu, na kila kitu ipo juu,”

“Ukiangalia kila kitu kipo inakupa namna ya kuona kuwa huna sababu ya kutofanya vizuri.” ameongeza.

Advertisement

6 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *