Wanahabari wanyooshewa kidole rushwa ya ngono

DSM; UKOSEFU wa mikataba ya ajira, kipato duni imetajwa kuwa blanketi zito lililofunika tasnia ya habari na kuchochea rushwa ya ngono ndani ya vyombo vya habari.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam, katika kikao cha majadiliano kilichoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Mfuko wa Udhamini wa Wanawake Tanzania (WFT-T) kupitia mradi wa kuangazia rushwa ya ngono kwa wanahabari wanawake, ambapo Wanahabari wanawake wametakiwa kujiamini, kujituma katika kazi, kujitambua ili kuepuka kuingia kwenye mitego ya rushwa ya ngono.
Akizungumza Ofisa Uchechemuzi kutoka Tamwa, Florence Majani amesema; “Tasnia ya Habari ni muhimili wa nne wa dola, lakini kuna muda tunajiuliza hivi labda kada ya madaktari au wanasheria walipaswa kuwa muhimili wa nne wa dola?
“Tasnia ya habari inadharaulika si chochote kwa mtu yoyote kutokana na mazingira yanayotuzunguka,” amesema Florence na kuongeza:
“Asilimia kubwa hawana mikataba ya kudumu ya ajira, kipato kidogo, ndio maana hakuna anayetaka mwanae aje arithi kazi hii, tasnia ya habari imekuwa ni mshumaa unaomulika wengine huku yenyewe inateketea,” amesema.
★Makes to per day online work and i received in one month online acting from home.I am a daily student and work simply one to a pair of hours in my spare time. (r 00q) Everybody will do that job online and makes extra cash by simply on this website
Just open the link══════►►► http://Www.SmartCareer1.com
I just started 7 weeks ago and I’ve gotten 2 checks for a total of $2,000…this is the best decision I made in a long time! “Thank you for giving me this extraordinary opportunity to make extra money from home. go to this site for more details…open this web…………
See Here .. http://Www.Smartwork1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com