Wanahisa Benki ya maendeleo kicheko

BENKI ya Maendeleo imetangaza ongezeko la gawio kwa wanahisa ambalo ni sh milioni 708 kwa mwaka  2022 ikiwa ni ongezeko la asilimia 136 ikilinganishwa na gawio la shilingi  milioni 11 kwa  mwaka 2021

Hayo yamesemwa leo Agosti 9,2023 na Mkuu wa Idara ya usimamizi wa hatari na taratibu wa benki hiyo Peter Tarimo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari jijini  Dar es Salaam

Amesema, gawio hilo kwa wanahisa litalipwa Oktoba 6,Octoba 2023 kwa wanahisa wote watakaokuwa wamejisaji.

Advertisement

Aidha, amesema gawio hilo ni mgao wa nne tangu kuanzishwa kwa benki hiyo mwaka 2013 .

1 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *