Wanaopisha mradi wa Msimbazi kulipwa mwezi huu

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema wananchi wanaopisha mradi wa uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi mkoani Dar es Salaam wataanza kulipwa fidia mwezi huu.

Mratibu Msaidizi wa mradi huo, Nyariri Kimacha alisema hayo Dar es Salaam jana wakati wa kikao cha utambulisho wa mtaalamu mshauri wa masuala ya fidia. “Serikali imeshakabidhi fedha za kulipa fidia. Ndani ya mwezi huu wa kumi fedha hizo zitaanza kulipwa,” alisema Kimacha.

“Ikifika kesho jioni (leo) tutaandaa tangazo kutaarifu wananchi kuwa sasa zoezi hili la kupokea fidia limefika. Wananchi watajulishwa tarehe ni lini na wapi,” alisema mtaalamu wa masuala ya kijamii kutoka Tamisemi, Beatrice Mchome. Aliongeza:

“Tutakusanya taarifa ili zisaidie mambo mbalimbali ikiwemo taarifa za watoto wa shule ili Tamisemi ione namna watoto hawa watakavyohamishwa shule bila usumbufu.” Mchome alisema walifanya mpango wa ardhi mbadala kwa watakaopenda kwenda katika maeneo ya Mvuti, Kigamboni na Tegeta.

“Kwa mara ya kwanza mradi mkubwa unatekelezeka mara moja zaidi ya watu 3,000 wanahama katika bonde hilo,” alisema.

Alieleza shida ya malalamiko kutoka kwa wananchi yalianza wakati yalipofanyika makosa ya kibinadamu na akasema serikali haiwezi kutekeleza mradi bila kuzingatia sheria ya nchi. OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema wananchi wanaopisha mradi wa uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi mkoani Dar es Salaam wataanza kulipwa fidia mwezi huu.

Mratibu Msaidizi wa mradi huo, Nyariri Kimacha alisema hayo Dar es Salaam jana wakati wa kikao cha utambulisho wa mtaalamu mshauri wa masuala ya fidia. “Serikali imeshakabidhi fedha za kulipa fidia. Ndani ya mwezi huu wa kumi fedha hizo zitaanza kulipwa,” alisema Kimacha.

“Ikifika kesho jioni (leo) tutaandaa tangazo kutaarifu wananchi kuwa sasa zoezi hili la kupokea fidia limefika. Wananchi watajulishwa tarehe ni lini na wapi,” alisema mtaalamu wa masuala ya kijamii kutoka Tamisemi, Beatrice Mchome. Aliongeza:

“Tutakusanya taarifa ili zisaidie mambo mbalimbali ikiwemo taarifa za watoto wa shule ili Tamisemi ione namna watoto hawa watakavyohamishwa shule bila usumbufu.” Mchome alisema walifanya mpango wa ardhi mbadala kwa watakaopenda kwenda katika maeneo ya Mvuti, Kigamboni na Tegeta.

“Kwa mara ya kwanza mradi mkubwa unatekelezeka mara moja zaidi ya watu 3,000 wanahama katika bonde hilo,” alisema. Alieleza shida ya malalamiko kutoka kwa wananchi yalianza wakati yalipofanyika makosa ya kibinadamu na akasema serikali haiwezi kutekeleza mradi bila kuzingatia sheria ya nchi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
money
money
2 months ago

WIZARA YA NDOTO

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE

OIP (1).jpeg
Bertha
Bertha
Reply to  money
2 months ago

I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 2 months ago by Bertha
money
money
2 months ago

WIZARA YA NDOTO…

HOTUBA YA WIZARA YA NDOTO

ULIMWENGU WA NDOTO

One. DEREVA BODABODA ANA NDOTO YA KUMILIKI KAMPUNI YA NDEGE

Two. MUUZA MBOGAMBOGA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA MBOGA MBOGA

Three. MUUZA VITUNGUU SUMU ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA VITUNGUU SUMU

Four. MUUZA NYANYA ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NYANYA

Five. MUUZA MAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KIWANDA CHA NDEGE

Six. MUUZA BAR ANA NDOTO YA KUMILIKI KUJENGA BAR

Seven. MUUZA FREMU ANA NDOTO YA KUMILIKI SHOPPING MALLS

Eight. MGANGA WA KIENYEJI ANA NDOTO YA KUMILIKI HOSPITALI

Nine. MPIGA DEBE ANA NDOTO ZA KUMILIKI KAMPUNI YA MABASI

Ten. MAMA NTILIE ANA NDOTO YA KUMILIKI HOTELS

Eleven. MCHEKESHAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Twelve. MTANGAZAJI ANA NDOTO YA KUMILIKI KITUO CHA TELEVISION

Upo sahihi “tukasomeeeeeee tueleweeeeeee Saaaana

Fursa BABA YETU ULIE MBINGUNI NA BWANA YESU ASIFIWE – IMPORT WATU FROM US TO TZ……..

UKIKUTANA NA MZUNGU AKUPE BRIEFCASE YA HELA UTEKELEZE VYOTE MWENYEWE

OIP (1).jpeg
MONEY
MONEY
2 months ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg

Capture.JPG
MONEY
MONEY
2 months ago

KWELI WEWE JAMAA KWAKO HAKUNA BAG

TUNZA MAZINGIRA YAKUTUZE… UTAKACHOONDOA NDIO KAZI..

100% KIWEKWACHO HUMO HUTENGENEZWA NA WANAWAKE

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image004.jpg…

Capture.JPG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x