Wanaosoma ufundi kupewa mkopo

“Napendekeza kuanzisha programu ya mikopo kwa wanafunzi wanaochaguliwa na Serikali kusoma kwenye vyuo vinavyotoa elimu katika fani za kipaumbele ambazo ni sayansi, afya, ufundi na ualimu.
“Hatua hii itaanza na wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa masomo wa 2023/24,” Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba,akiwasilisha bungeni mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2023/24, leo Juni 15, 2023
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *