“Wanawake milioni 200 wamepitia ukeketaji na unyanyasaji”

DAR ES SALAAM: TAKWIMU za Kimataifa zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na watoto wa kike milioni 200 ulimwenguni wamekeketwa pamoja na kufanyiwa vitendo vya unyanyasaji.
Kati yao milioni 20 wamefanyiwa vitendo hivyo na wataalamu wa afya, ilhali zaidi ya wanawake na watoto wa kike milioni 60 wapo katika hatari ya kukeketwa.
Hayo yameelezwa leo Oktoba 09, 2023 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutokomeza Ukeketaji.
Tanzania ni mwenyeji wa Mkutano huo, unaoratibiwa chini ya mwavuli wa Jumuiya ya Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) ambapo nchi 21 wameshiriki Mkutano huo wakiwemo Mawaziri nane barani Afrika.
Dk. Gwajima amesema ili kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukeketaji na unyanyasaji kwa wanawake na watoto wakike barani Afrika, nguvu lazima iongezwe katika mapambano dhidi ya vitendo hivyo viovu.
Kiongozi huyo amesema hayo yatafikiwa kwa kuwa na mfuko imara utakaowezesha kuifikia jamii na kuielimisha kwa kutumia mfumo shirikishi ikiwemo kushirikisho wanaume katika mapambano haya.
Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com
I’m making $90 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning 16,000 US dollars a month by working on the connection, that was truly astounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this job now by just using this website.. http://Www.Easywork7.com
[ JOIN US ] I am making a good salary from home $16580-$47065/ Dollars week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. ( y99q) I thank God every day I was blessed with these instructions and now it’s my duty to pay it forward and share it with Everyone,
Here is I started.…………> http://Www.SmartCareer1.com
PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA
NA
MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION
Address: Dar Es Salaam,
,Post Office box: 21493,
Phone number:
022 285 1500
Categories: Garages & Service Stations.
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg
– PIGA SIMU TUKUHUDUMIE
PATA HUDUMA YA MATENGENEZO YA MAGARI KWA MATATIZO YOTE GARI YAKO NA POPOTE ULIPO TANZANIA
NA
MOVABLE KURASINI GARAGE SERVICE STATION
Address: Dar Es Salaam,
,Post Office box: 21493,
Phone number:
022 285 1500
Categories: Garages & Service Stations..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg
– PIGA SIMU TUKUHUDUMIE