Wanawake Shinyanga wamfagilia Samia

WANAWAKE mkoani Shinyanga wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru, mjini New Delhi nchini India.
Wakizungumza kwenye kongamano mjini Shinyanga, wanawake, ambalo liliongozwa na Mkuu wa Mkoa Shinyanga, Christina Mndeme na kuhudhuriwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa, Mabala Mlolwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed, wamempongeza pia Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi kwenye miradi ya maendeleo.
Mndeme aliwaeleza wanawake hao kuwa Serikali ya Awamu ya Sita, imetoa fedha nyingi za maendeleo na kila kijiji kimefikiwa na mradi, ambapo sekta ya elimu serikali imetoa zaidi ya Sh bilioni 53.6, ambapo shule mpya 24 zimeongezeka,maabara 57 kwa shule za sekondari na nyumba za walimu 69.
–
Amesema upande wa nishati ya umeme, serikali imetoa zaidi ya Sh bilioni 323 kwa ajili ya mradi mkubwa wa nishati ya umeme jua utakuwa kwenye Kijiji cha Talagha, wilayani Kishapu ambao utakuwa ni mradi mkubwa kwa Afrika Mashariki .
Mndeme amesema kupitia mradi wa nishati ya umeme vijijini (REA) kwa mkoa wa Shinyanga vijiji 240 vimepitiwa na umeme huo, hayo ni mafanikio makubwa.
Amesema katika sekta ya afya hospitali zilikuwa nane na sasa zimeongezeka mbili na kufikia hospitali kumi , ambapo hospitali ya Halmashauri Ushetu na Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga zimeanza kufanya kazi na vituo vya afya vimeongezeka sita na kufikia 25 na zahanati 11 zimeongezeka nakufikia zahanati 242.
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com
I work from home and earn a respectable $6k a week, which is amazing considering that a year ago I was unemployed in a terrible economy. I always give God praise for honoring me with these rules, and now it’s my duty to practice anticipatory compassion and share it with everyone. Likewise,
Here is I begun—> http://Www.Easywork7.com
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?….
*********TULIZANI TUPO TAYARI KUISHI……
DOWNLOAD HAPA UAPATE NGUVU ZA KIUME