Wanawake, watoto wasiachwe nyuma mradi LTIP

SERIKALI imetaka wanawake na watoto wasiachwe nyuma katika kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi ya wilaya na vijiji inayofanyika chini ya Mradi wa Uboresha Usalama wa Milki za Ardhi nchini (LTIP).

Haya yamebainishwa Afisa Maendeleo Mwandamizi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tumaini Setumbi wakati wa mkutano wa wadau wa kujadili mpango wa matumizi ya ardhi wilaya ya Mufindi mkoani Njombe.

Wilaya ya Mufindi ni miongoni mwa wilaya sita ambazo zinatekeleza mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi, huku zingine zikiwa ni Chamwino, Longido, Mbinga, Maswa na Songwe.

Amesema, ni vyema kuwepo na ushirikishwaji wa jamii hasa makundi maalum ya wanawake, wazee, vijana na watoto hatua ambayo itaweza kujua haki zao katika kumiliki ardhi.

“Tuhakikishe wanawake, watoto wasiachwe nyuma katika vikao vya maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya vijiji ili jamii ijue umuhimu wa kumiliki ardhi na kuongeza idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi.”

Aidha, amesema utekelezai wa mradi huo utasaidia kuondokana na migororo ya aridhi na wananchi kutambua maeneo na matumizi yake.

Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Dk Linda Salekwa, Katibu Tawala wa Wilaya Fank Sichalwe amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia utolewaji wa fedha zaidi ya Sh bilioni 340 kutokana Benki ya Dunia kwa ajili ya kupanga matumizi bora ya ardhi katika halmashauri sita.

Awali, diwani wa kata ya Igombavavu alisema wananchi wamefurahisha na utekelezaji wa mradi huo ambao umetenda haki.

“Mradi huu umetenda haki kwani wakati wa kupima mke na mume wote wanashirikishwa na kama ardhi hiyo ina wanandugu wanne basi kila mmoja anapimiwa kipande chake.”

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Jennifer J. Thomason
Jennifer J. Thomason
2 months ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://Fastinccome.blogspot.com/

nolmataydi
nolmataydi
2 months ago

I get over 25k usd a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life…This is what I do,Copy Bellow Website

Just open the link———————->>> http://www.join.salary49.com

CaitlynCohn
CaitlynCohn
2 months ago

I made over $700 per day using my mobile in part time. I recently got my 5th paycheck of $19632 and all i was doing is to copy and paste work online. this home work makes me able to generate more cash daily easily simple to do work and regular income from this are just superb. Here what i am doing.

.

.

.

Check info here——————>>> https://Dollargate0.blogspot.Com

Last edited 2 months ago by CaitlynCohn
Menserra
Menserra
2 months ago

>>> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
2 months ago

Making an extra $15,000 per month from home by doing simple copy and paste like online work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone can now easily generate extra money online.
.
.
Detail Here——————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x