Wapigaji fedha za miradi kukiona

ARUSHA; Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amekemea tabia ya wahandisi kuletewa fedha za miradi kutoka serikalini na badala yake fedha hizo kuisha bila miradi kumalizika kisha kupanga kuongeza fedha nyingine kutoka mapato ya ndani.
Mongella amesema hayo wilayani Longido baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya kata Mundarara na kupewa tarifa ya fedha zilizotolewa na serikali kiasi cha Sh,milioni 470 kuwa hazikukamilisha mradi huo na kupanga kuongeza fedha kutoka mapato ya ndani.
Mbali na kuuagiza uongozi wa Wilaya ya Longido kukamilisha ujenzi wa mradi huo katika maeneo yaliyosalia ifikapo Desemba 15, mradi ukuwa umezingatia vigezo vya ubora vilivyoainishwa na serikali, na kuwasisitiza kuhakikisha fedha zilizotolewa na serikali zinakamilisha mradi huo bila kuongeza fedha kutoka mapato ya ndani.
“Hii tabia ya kumaliza fedha za miradi halafu mnadai mtaongeza nyingine katika mapato ya ndani acheni,na kwanini Wilaya hii mnakuwa na miradi viporo au hammalizi miradi kwa wakati, jitahimini na mjipange katika usimamizi wa majukumu yenu, sitaki miradi viporo”
Rc ,Mongella alimwagiza Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marco Ng’umbi kuwasimamia watendaji wote wa chini yake, kusimamia utekelezaji wa miradi yote ya maendeleo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa fedha zilizoletwa na serikali.
Awali Serikali kupitia programu ya Kuboresha Miundombinu ya Shule za Sekondari Nchini (SEQUIP), imetoa Sh milioni 470 za kujenga shule mpya ya sekondari ya kata ya Mundarara, fedha hizo zinazotumika kujenga vyumba 8 vya madarasa, jengo la utawala, majengo ya maabara, maktaba, chumba cha TEHAMA, matundu 16 ya vyoo pamoja na tanki kubwa la kuhifadhia maji .
AFRICA INDUSTRIALIZATION POLICY 2400
TANGAZO
KAMPUNI YA WOTE COMPANY LIMITED INAWATANGAZIA VIJANA WA TANZANIA AJIRA 1 KWA MTANZANIA ATAKAE SAMBAZA UFISADI/WIZI/UHARIBIFU KWENYE KILA NYUMBA MIJINI NA VIJINI
AFRICA INDUSTRIALIZATION POLICY 2400
TANGAZO
KAMPUNI YA WOTE COMPANY LIMITED INAWATANGAZIA VIJANA WA TANZANIA AJIRA 1 KWA MTANZANIA ATAKAE SAMBAZA UFISADI/WIZI/UHARIBIFU KWENYE KILA NYUMBA MIJINI NA VIJINI..
Investment ACT 2500
TANGAZO
KAMPUNI YA WOTE COMPANY LIMITED INAWATANGAZIA VIJANA WA TANZANIA AJIRA 1 KWA MTANZANIA ATAKAE SAMBAZA UFISADI/WIZI/UHARIBIFU KWENYE KILA NYUMBA MIJINI NA VIJINI..
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)..
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)…..
WATANZANIA 3 WANATAFUTWA… 1. MKULIMA MKUBWA (TAASISI ZA SERIKALI) 2. MKULIMA WA KATI (MWEKEZAJI MKUBWA SANA) 3. MKULIMA MDOGO (ANAYELIMA NYUMBANI)……
USALAMA KAZI MHE TUTAFANYA KWA AJILI YA “MLIMA KILIMAJARO” – LAZIMA TUFANYE KITU KWA AJILI YA TANZANIA USALAMA WETU TUKITEMBELE
Everybody can earn 500 dollars Daily…(Ql) Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 25370 dollars.
.
.
.
COPY This Website OPEN HERE……….> > > http://remarkableincome09.blogspot.com