Wasichana waahidiwa mazingira mazuri masomo ya sayansi

DSM; Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ya kuongeza ushiriki wa wasichana katika fani za sayansi na teknolojia, ili kuongeza wataalamu wengi zaidi wa kike katika soko la ajira nchini.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Elimu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Kennedy Hosea, wakati alipomwakilisha Katibu Mkuu wa wizara hiyo katika ufunguzi wa kozi ya Foundation inayotolewa katika chuo Kikuu huria cha Tanzania kwa wasichana 140.
Wasichana hao ni waliomaliza kidato cha sita na kupata changamoto mbalimbali zilizowafanya kushindwa kuendelea na elimu ya chuo Kikuu kwa upande wa masomo ya sayansi kwa ufadhili wa Mradi wa HEET, ambao uko chini ya Benki ya Dunia na Wizara ya Elimu.
Mkurugenzi huyo amesema lengo la serikali katika programu hiyo ni kuongeza kwa wingi watalaamu katika fani hizo za sayansi, hususani watoto wa kike na kuwataka wasichana hao kutumia fursa hiyo waliyoipata kuhakikisha wanatimza malengo yao kupitia kozi hiyo, ili waweze kuingia vyuoni na baadae waweze kulisaidia Taifa kupitia taaluma waliyopata vyuoni.
Awali akizungumza katika ufunguzi huo Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Profesa Elifas Bisanda pamoja na mambo mengi aliweka msisitizo kwa wanafunzi hao kuhakikisha wanasoma na kufikia ufaulu utakaowawezesha kupata elimu ya vyuo vikuu.
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. (ns)My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit………
.
. http://www.Smartcash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I received a third payment of $30,000 from a web company in less than a month, which I put on my tablet. It’s always a great position, and his salary is usually more than mine. Start working and making money online as soon as possible.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com