Wataalamu wa afya wapewa mbinu koboresha huduma

DAR ES SALAAM: Wataalamu na watoa huduma za afya nchini wametakiwa kujifunza zaidi njia mpya na zinazoendanda na mabadiliko ya teknolojia katika kupambana na vijidudu sugu vya magonjwa mbalimbali hali itakayosaidia kuboresha afya za wananchi.
Hayo yamebainishwa na Daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili Wanin Athman ambapo ameongeza kuwa kuna umuhimu wa kuongeza utolewaji wa elimu ya afya kwa madaktari juu ya umuhimu wa kubadilisha mbinu za kutibu bakteria mbalimbali kulingana na mabadiliko ya bakteria hao.
Mkurugenzi wa kampuni Castfarm limited Anwar Kachra amesema lengo ni kutoa elimu kwa watoa huduma za afya ili kuwawezesha kukabiliana na vijidudu sugu kulingana na mabadiliko ya teknolijia huku akiishukuru serikali kwa kuboresha huduma za afya nchini.
Naye Mtaalamu wa maabara kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili James Kalabashanga amebainisha kuwa kumekuwa na changamoto ya usugu wa vijidudu kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya dawa hivyo mafunzo hayo yatasaidia kuongeza ufanisi wa huduma za dawa na matibabu nchini.
“JENGA UKIFA UTAZIACHA NA WATOTO WENU WATAUZIUZA” BY SAMIA SULUHU HASANI
HIVI MWANADAMU AKIFA HUWA AACHA NINI KULE BY TULIA AKSON
AKUTA NYOKA KWENYE VIATU VYAKE, AUMWA NA KUFA HAPO HAPO
HATA UTARATIBU TULIOUJENGA INABIDI TUFE TUUACHE WAKITAKA WAKUUZE ULAYA…
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://smartcareer12.blogspot.com/
Pata $200,0000 kwa kufanya kazi nyumbani “work at home” bila kutoka NYUMBANI KWAKO KABISA>
Tunatafuta KILICHO POTEA KAMPUNI YA KAKA, MAMA, RAFIKI, SHEMEJI, MJOMBA, SHAMBAZI, MWANDANGU, BABA MDOGO, NILISOMA NAYE INAKULETEA MRADI MKUBWA WA SIMU ZA MTAANI KILA MTAA SIMU MOJA… Mahusiano Tajirika Sasa Kitaa Kinamsaada
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
Raha za I MISS YOU BY Diamond Platnumz
IKASAIDIE KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWENYE VIJIJI VYA UJAMAA