Wataalamu wa afya wapewa mbinu koboresha huduma

DAR ES SALAAM: Wataalamu na watoa huduma za afya nchini wametakiwa kujifunza zaidi njia mpya na zinazoendanda na mabadiliko ya teknolojia katika kupambana na vijidudu sugu vya magonjwa mbalimbali hali itakayosaidia kuboresha afya za wananchi.

Hayo yamebainishwa na Daktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili Wanin Athman ambapo ameongeza kuwa kuna umuhimu wa kuongeza utolewaji wa elimu ya afya kwa madaktari juu ya umuhimu wa kubadilisha mbinu za kutibu bakteria mbalimbali kulingana na mabadiliko ya bakteria hao.

Mkurugenzi wa kampuni Castfarm limited Anwar Kachra amesema lengo ni kutoa elimu kwa watoa huduma za afya ili kuwawezesha kukabiliana na vijidudu sugu kulingana na mabadiliko ya teknolijia huku akiishukuru serikali kwa kuboresha huduma za afya nchini.

Naye Mtaalamu wa maabara kutoka hospitali ya taifa ya muhimbili James Kalabashanga amebainisha kuwa kumekuwa na changamoto ya usugu wa vijidudu kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya dawa hivyo mafunzo hayo yatasaidia kuongeza ufanisi wa huduma za dawa na matibabu nchini.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kila sura KUTEMBEA NA STUDIO YA ALJAZEERA
Kila sura KUTEMBEA NA STUDIO YA ALJAZEERA
17 days ago

“JENGA UKIFA UTAZIACHA NA WATOTO WENU WATAUZIUZA” BY SAMIA SULUHU HASANI
HIVI MWANADAMU AKIFA HUWA AACHA NINI KULE BY TULIA AKSON
AKUTA NYOKA KWENYE VIATU VYAKE, AUMWA NA KUFA HAPO HAPO
HATA UTARATIBU TULIOUJENGA INABIDI TUFE TUUACHE WAKITAKA WAKUUZE ULAYA…

Capture-1694773583.7177-207x300.jpg
KatherineAnderson
KatherineAnderson

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://smartcareer12.blogspot.com/

Last edited 17 days ago by KatherineAnderson
Kila sura KUTEMBEA NA STUDIO YA ALJAZEERA
Kila sura KUTEMBEA NA STUDIO YA ALJAZEERA
17 days ago

Pata $200,0000 kwa kufanya kazi nyumbani “work at home” bila kutoka NYUMBANI KWAKO KABISA>

Tunatafuta KILICHO POTEA KAMPUNI YA KAKA, MAMA, RAFIKI, SHEMEJI, MJOMBA, SHAMBAZI, MWANDANGU, BABA MDOGO, NILISOMA NAYE INAKULETEA MRADI MKUBWA WA SIMU ZA MTAANI KILA MTAA SIMU MOJA… Mahusiano Tajirika Sasa Kitaa Kinamsaada

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

Raha za I MISS YOU BY Diamond Platnumz

Capture1-1694767810.4972-231x300-1694775001.894.jpg
Bima Ninayo
Bima Ninayo
14 days ago

IKASAIDIE KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWENYE VIJIJI VYA UJAMAA 

CaptureA.JPG
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x