Watakiwa kubuni usalama mifumo ya mitandao

TUME ya Tehama nchini (ICTC), imesema ni muhimu sana vijana kuwa wataalam pamoja na kufanya bunifu katika maeneo ya usalama wa mifumo ya mitandao ili kuwa na uchumi wa kidigatali wenye kuzalisha kazi kwao na kufanya Tehama ichangie pato la Taifa.
Mkurugenzi Mkuu wa ICTC, Dk Nkundwe Mwasaga amesema hayo leo Dar es Salaam wakati akifunga mafunzo kwa vijana na wanawake wajasiriamali, kuhusu namna ya kujilinda pindi wanapokuwa wakifanya mambo mbalimbali ya mtandaoni.
Mafunzo hayo ya siku tatu yaliandaliwa na kuratibiwa na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki (EABC) kwa udhamini wa Shirika la Kijerumani la Ushirikiano wa Kimataifa ( GIZ).
Dk Nkundwe amesema kimsingi mitandao kwa kawaida inatakiwa iwe na usalama pia kuhakikisha inaaminika kwa mtumiaji wa mwisho, hivyo wajikite kuwa wabunifu katika eneo hilo, jambo litakalosaidia kukua kwa uchimi wa kidigitali na kusaidia kuaminika pia.
“Vijana waoneshe uwezo mkubwa utakaosaidia mifumo kuwa salama, ili watu watakapokuwa wakifanya biashara zao ziweze kuwa salama bila kupoteza vitu vyao na zaidi waweze kuaminika,” amesema Dk Nkundwe.
Amesema mafunzo yaliyotolewa na EABC yanatakiwa kuwa mengi haswa kwa kuwa nchi inajenga uchumi wa kidigitali mkubwa, ambao una nguzo moja ya msingi inayoelezea mifumo iwe salama na iaminike.
Amesema katika kuhakikisha mifumo inakuwa salama serikali imetunga sheria mbalimbali ikiwemo ya ulinzi wa taarifa binafsi za watu, makosa ya kimtandao ni yapi zote hizo kwa pamoja zikiwa na lengo la kuhakikisha usalama wa mifumo ya kimtandao.
Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa EABC, John Kalisa amewataka vijana kufanya kazi kwa bidii kuwezesha mifumo ya kimtandao inakuwa salama kwa kuwa ni eneo linaloweza kuwainua kwa kuwapa ajira.
Ametolea mfano nchini Uganda kuwa asilimia 38 ya biashara zilizomo zinaendeshwa na vijana hivyo wajikite kufanya kazi kwa bidii kuwa na kampuni kubwa zinazoweza kutengeneza mifumo ya kutoa ulinzi wa mitandao.
Amesema majukwaa ya mafunzo kama hayo kwa vijana ni eneo linalozalisha ubunifu, wakifanya kazi kwa pamoja kwa ajili ya kukuza uchumi wa kidigitali.
I’m making over $7k a month working component time. I saved hearing other people inform me how lots cash they could make online so I decided to look at it. Well, it turned into all proper and has definitely modified my life.
.
.
Detail Here————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
Surprising! I’ve been making 100 Dollars an hour since I started freelance on the Internet six months ago. I work long hours a day from home and do the basic work that I get from the business I met online. share this work for you opportunity This is definitely the best job I have ever done………
…
…
…Go To This Link…………… > > > > http://Www.Smartcareer1.com
Google pay 390$ reliably my last paycheck was $55000 working 10 hours out of consistently on the web. My increasingly youthful kinfolk mate has been averaging 20k all through continuous months and he works around 24 hours reliably. I can’t trust how direct it was once I attempted it out. This is my essential concern…:) GOOD LUCK
For more info visit……… http://Www.CareersHome.online
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Familia ya bwana MAPIGANO/KUTOKUZIKWA YATANGANZA VITA NA NCHI YA RWANDA YA KUBOMOA DARAJA LA MTO KAGERA PALE RUSUMO KWA KUTUMIA MABOMU YA KUTENGWA KWA MKONO KWA SIKU 5 LENGO NI KUUWA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA RWANDA