Watanzania 11,242,736 wamwpata vitambulisho NIDA

SERIKALI imesema hadi kufikia Julai 31, 2023 jumla ya Watanzania 11,242,736 wamepewa vitambulisho sawa na asilimia 55 ya lengo la kuwapatia wananchi 20,294,910 wanaostahili kupewa.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko aliyetaka kujua ni asilimia ngapi ya Watanzania wameandikishwa na kupatiwa Kitambulisho cha Taifa.

Akijibu swali hilo kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Naibu Waziri Khamis amesema mpango wa Serikali ni kuwagawia vitambulisho Watanzania 9,052,174 waliobaki ifikapo mwezi Machi, 2024.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
juma.kiaramba
juma.kiaramba
22 days ago

Kaagana na Ukoo wake na Kuuangana na Maendeleo ya Tanzania

Capture.PNG
juma.kiaramba
juma.kiaramba
22 days ago

Kaagana na Ukoo wake na Kuuangana na Maendeleo ya Tanzania…

Capture.PNG
Akamatwa na Madawa
Akamatwa na Madawa
21 days ago

Akamatwa na Madawa ya kulevya kukamatwa na dawa za kulevya kilo 888.08 zilizokuwa zimefichwa ndani ya viatu Vyake…

Capture.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x