Watanzania changamkieni fursa za uwekezaji

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka wawekezaji wa ndani kutumia vizuri na kikamilifu mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyowekwa na serikali kuanzisha miradi mbalimbali ambayo itawezesha kutoa ajira kwa Watanzania.

Dk Mpango alisema hayo wilayani Kasulu mkoani Kigoma wakati akifungua Hotel ya Bwami Dubai iliyojengwa na mwekezaji binafsi na kusema kuwa serikali inasisitiza Watanzania kutumia fursa hiyo kuwekeza kwa kadri wanavyoweza.

Alisema kuwa serikali ya awamu ya sita imeondoa kodi na tozo ambazo zilikuwa kero kwa wafanyabiashara na wawekezaji kwenye sekta mbalimbali ili kuweza kutumia mitaji waliyonayo kuanzisha shughuli mbalimbali ambazo zitakuwa kichocheo katika kukuza uchumi wa nchi.

Makamu wa Rais alisema kwa sasa sekta binafsi ndiyo inayotoa ajira kwa wingi kwa watu kujiajiri au kuajiri watu wengine na hiyo yote inatokana na mazingira mazuri ambayo serikali imeyaweka kuwezesha watu wengi kuanzisha shughuli za uwekezaji kwenye kilimo, madini, viwanda na shughuli nyingine ambazo zitazalisha ajira.

Akizungumzia uwekezaji kwa Mkoa Kigoma alisema kuwa serikali imedhamiria kuweka mazingira mazuri kwa mkoa huo kuwezesha kuvutia uwekezaji kwa kuimarisha miundo mbinu ya barabara, reli na usafiri wa anga, upatikanaji wa umeme wa uhakika, huduma za afya na huduma nyingine za msingi zinazohitajika ambazo zinavutia wawekezaji hivyo amewataka wananchi wazawa wa Kigoma kurudi kuwekeza mkoani humo.

Mkurugenzi wa hoteli hiyo, Evance Chocha alisema kuwa mazingira mazuri ya uwekezaji yaliyowekwa na Raisi Samia Suluhu Hassan ndiyo yaliyomfanya kujenga hoteli hiyo iliyogharimu kiasi cha Sh bilioni 1.6 ambayo ina vyumba 36 na ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 50.

Chocha alisema kuwa katika uwekezaji wake hadi sasa ameshatoa ajira kwa Watanzania 45 huku hoteli hiyo ikiwa na fursa kubwa ya kukuza uchumi wa Kigoma kwa kodi na maununuzi mbalimbali ambayo yatakuwa yanafanyika kwa ajili ya matumizi ya hoteli hiyo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Walt_League@mac.com
Walt_League@mac.com
2 months ago

I made over $700 per day using my mobile in part time. I recently got my 5th paycheck of $19632 and all i was doing is to copy and paste work online. this home work makes me able to generate more cash daily easily simple to do work and regular income from this are just superb. Here what i am doing.
.
.
.
For Details►—————————➤ https://fastinccome.blogspot.com/

neknoyirze
neknoyirze
2 months ago

Home cash earning job to earns more than $500 per day. getting paid weekly morethan $3.5k or more simply doing easy work online. no special skills requiredfor this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this byfollow details here.
.
.
Here►—————————➤ https://creatework.pages.dev/

Last edited 2 months ago by neknoyirze
VickieMcKenney
VickieMcKenney
2 months ago

Scam scam every where but don’t worry , every one is not a cheater, very reliable and profitable site. Thousands peoples are making good earning from it. For further detail visit the link no instant money required free signup and information…….__ https://onlineweb76.blogspot.com/

Last edited 2 months ago by VickieMcKenney
Julia
Julia
2 months ago

Making an extra $15,000 per month from home by doing easy copy and paste type internet work. I earned $18,000 from this simple at-home job. Everyone may now easily generate additional money online.
.
.
Detail Here——————————————————–>>> http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x