Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano

MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano baada ya kukamilika ujenzi wa minara 758, katika Mikoa 26, Wilaya 127, Kata 713 na Vijiji 1,407 vya Tanzania Bara.

Akizungumza katika Hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya kupeleka huduma ya mawasiliano nchini inayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo, Mei 13, 2023, Justina amesema tukio hilo ni la kihistoria kwa taifa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
TOA Hotel & Spa
TOA Hotel & Spa
1 month ago

Watoto Wenye Tabia ZIFUATAZO WAMESHINDA NA WAMEAMUA MSHINDE KILA MMOJA MILION 60
•            MWIZI
•            BASHA (MAPENZI YA JINSIA MOJA)
•            MSAGAJI (MAPENZI YA JINSIA MOJA)
•            KICHAA
•            JAMBAZI
•            MALAYA
•            MLEVI
•            MUUAJI
•            TAILA
•            TASA
•            WABAKAJI
•            MLAWITI
•            MVUTA SIGARA
•            MVUTA BAGI
•            MTUMIA MADAWA YA KULEVYA
•            MTEMBEA UCHI
·             KIKOJOZI

KAMA UNA HIZI TABIA AU MWEZAKO ANA HIZI TABIA TUMA UJUMBE /JINA KWENDA 5660 AU PIGA 0800751000 BURE

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x