Watoto 260 wauawa vurugu Palestina

MIONGONI mwa Wapestina 950 waliouawa katika vita inayoendelea huko Ukanda wa Gaza, imeelezwa 260 ni watoto, Wizara ya Afya Palestina imeripoti.

Wakati Palestina ikiripoti idadi hiyo ya vifo, mtandao wa Al-Jazeera umesema idadi ya waliouawa kwa upande wa Israeli imefikia 1,200.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imesema makombora yanayoendelea kurushwa na Israeli tangu Jumamosi kuelekezea nchini humo yameharibu makazi 22,600, vituo vya afya 10 na shule 48.

Zaidi ya watu 260,000 wameyakimbia makazi yao huko Gaza, huku zaidi ya 175,000 wakipata hifadhi katika shule 88 za Umoja wa Mataifa.

“Zaidi ya watu 263,934 huko Gaza wanaaminika kukimbia makazi yao,” Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu OCHA liliripoti, likionya kwamba “idadi hii inatarajiwa kuongezeka zaidi”.

Jeshi la Israel linasema kuwa limeharibu mfumo wa hali ya juu wa ufuatiliaji uliotengenezwa na Hamas ambao ulitumika kugundua ndege katika Ukanda wa Gaza.

“Katika miaka iliyopita, kundi hilo lenye silaha lilianzisha mtandao wa Kamera za hali ya juu, zilizofichwa ndani ya hita za jua Gaza, kwa lengo la kutambua na kufuatilia ndege angani.” jeshi liliongeza.

Jeshi hilo limesema limenasa miili ya wapiganaji 1,000 wa Hamas waliojipenyeza Israel mwishoni mwa juma.

Takriban wapiganaji 18 wameuawa msemaji mkuu wa jeshi la nchi hiyo Daniel Hagari aliwaambia waandishi wa habari, kulingana na gazeti la Israel Hayom.

“Hii inaashiria ukubwa wa shambulio hilo. Walikuwa na vifaa na tathmini za ushindi, sio kwa uvamizi bali kwa ushindi, “alisema.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ARTIFICIAL MOUTH
ARTIFICIAL MOUTH
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?

Nancynglin
Nancynglin
Reply to  ARTIFICIAL MOUTH
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Nancynglin
ARTIFICIAL MOUTH
ARTIFICIAL MOUTH
1 month ago

Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?..

KimmieJules
KimmieJules
1 month ago

★They pay me $285 per hour to work on a laptop. ( c00q) I had no clue it was possible, but a close friend made $26,000 in four weeks working on this simple offer, and she convinced me to try it. For further information, please see.
Click and Copy Here══════►►► http://Www.SmartCareer1.com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x