Watu 14 wafa, maelfu wamekwama mafuriko Somalia

WATU 14 wamekufa na zaidi ya 47,000 kukwama kwenye matope na maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika jimbo la Jubbaland nchini Somalia na kusababisha mafuriko, Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu limeeleza.
Mvua kubwa iliyonyesha mwezi uliopita imeongeza kiwango cha maji kwenye mto Juba na kusababisha mafuriko katika maeneo ya mito ya jimbo hilo.
“Katika Wilaya ya Luuq, watu 2,400 wamenaswa katika eneo lililozingirwa na maji,” iliongeza taarifa hiyo. Juhudi za mamlaka na washirika wa uokoaji zinaendelea kuwaondoa wenyeji waliokwama.
Waziri wa Habari wa Somalia alisema mafuriko hayo ambayo pia yaliathiri majimbo ya Hirshabelle na Kusini Magharibi, yamesababisha uharibifu mkubwa. Aliomba uungwaji mkono, akiongeza kuwa hali ni mbaya.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I’ve made 64,000 USD so far this year working online and I’m a full time student. I’m using an online business opportunity I heard about and I’ve made such great money. It’s really user friendly and I’m just so happy that I found out about it.
.
.
Detail Here—————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I started earning $350/hour in my free time by completing tasks with my laptop that i got from this company I stumbled upon online…Check it out, and start earning yourself . For More Info Visit Any Tab
.
.
This Site Thanks a Lot Here…….. > > > http://Www.Smartcareer1.com