Watu 31 wafa mafuriko Somalia

IDADI ya waliokufa kutokana na mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Somalia imefika 31, mamlaka imeeleza katika taarifa yake.
Tangu mwezi Oktoba mwaka huu, zaidi ya watu 500,000 wamekimbia makazi yao, Waziri wa Habari, Daud Aweis alieleza katika taarifa yake huko Mogadishu. “Mafuriko pia yamesababisha uharibifu wa miundombinu katika Mkoa wa Gedo, Kusini mwa Somalia.”alisema Daud Aweis.
Ofisi ya U.N. ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetoa Dola million 25 kwa ajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko hayo.
“Wakati hatua zote zinazowezekana za maandalizi zikifuatiliwa, mafuriko ya kiwango hiki yanaweza tu kupunguzwa na kutozuiliwa,” OCHA ilisema, ikipendekeza “onyo la mapema na hatua za mapema” kuokoa maisha.
BARUA YA WAZI KWA MWANAMZIKI MASHUHURI ZUCHU au UCHU
TUPO DARASANI TUNAMSUBIRI MWALIMU… HAYA MAMBO HAYATAKIWI KWA NINI YAPO KAMA NA KWA NINI YANAZUNGUMZIWA KWENYE JAMII AU WATU
1. UVAMIZI WA VIWANJA,
2. HATUNA KAZI,
3. MADAWA YA KULEVYA,
4. BANGI,
5. UMALAYA,
6. MAPENZI YA JINSIA MOJA
7. KUACHANA
8. UFISADI
9. VITA
10. ULEVI
11. MAUAJI
12. KUELEWA KAZI/MASOMO
13. KUSOMA SANA N.K
14. Ubakaji
15. Ulawiti
16. KUROGWA NA WAZUNGU KUPITIA MOVIE ZA PONOGRAFIA – kuwa unatakiwa ufanye
POTEKEA HIZI NDIO TAKWIMU ZA WATU WANAOJIUA KILA SIKU/WIKI/MWEZI/MWAKA/SAA/DAKIKA/SEKUNDE.. TUTAENDELEA KUHESABU
Suicide – WHO response
Key facts
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com