Watu 43 wafanyiwa upasuaji Bombo

KAMBI maalum ya Upasuaji wa Kurekebisha Viungo iliyoanza Julai 17, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga ‘Bombo’ imefanikiwa kuwafanyia upasuaji watu 43 kati ya 86 hadi kufikia leo.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa taarifa hiyo leo Julai 24, 2023 na kusema kuwa upasuaji huo unaofanywa na madaktari bingwa kutoka Ujerumani na Tanzania sio kama ule wa ‘wadada’ wa kisasa bali huu ni upasuaji wa Viungo ili kuvirejesha katika utendaji wake wa kawaida.

“Nimeshuhudia wagonjwa ambao wamekatwa miguu yote miwili (baada ya kupata ajali au maambukizi yaliyopelekea kukatwa miguu) sasa wanatembea kwa miguu bila fimbo au msaada wowote baada ya kuwekewa ‘miguu’. Hakika ni jambo la kutia faraja na kuendelezwa,” amesema Waziri.

Aidha, alimshukuru Professor Juergen Dolderer na Taasisi yake ya Interplast German na University Medical Centre, Bayreuth German kwa kuichagua hospitali ya Bombo kuwa mshirika wa kutoa huduma hizo nchini ikiwemo kuwajengea uwezo wataalam wa kitanzania kufanya upasuaji wa kurekebisha viungo.

Mahusiano ya Tanga na Ujerumani ni ya kihistoria. Inasadikika kuwa Bombo ndio hospitali ya kwanza kujengwa na wajerumani ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki.

“Nawashukuru mno Interplast kwa kukubali ombi letu la kuifanya hospitali ya Bombo kuwa Kituo cha Umahiri cha Upasuaji wa Viungo (Centre of Excellence on Reconstructive and Cosmetic Surgery) ukanda wa Afrika Mashariki. Tunakamilisha taratibu zote zinazohitajika ili kuyapa nguvu maono haya,” Alisema Waziri Ummy.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
5 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kelly C. Maury
Kelly C. Maury
1 month ago

Working part-time, I bring home almost $13,000 per month. I was keen to find out after hearing several others describe how much money they were able to make online. Well, it all came to pass and completely altered my ba-07 life. Now, everyone needs to try this work by using this website.
.
.
Detail Are Here——————————————> https://Fastinccome.blogspot.Com/

Last edited 1 month ago by Kelly C. Maury
Jessica Newman
Jessica Newman
Reply to  Kelly C. Maury
1 month ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.

Here’s how she did it…………….. https://Workathomee33.blogspot.Com
 

Last edited 1 month ago by Jessica Newman
wewox31191
wewox31191
1 month ago

My neighbor’s sister makes $95 reliably on the workstation. She has beenwithout an occupation for a half year in any case multi month back her part was$30000 essentially dealing with the PC for two or three hours. Go to this siteand read more.
Now Here —> http://www.join.salary49.com

JessicaAnderson
JessicaAnderson
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by JessicaAnderson
Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
1 month ago

Chat to Live Support

MAPINDUZI.PNG
Back to top button
5
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x